Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

saa hizi umeshasahau sisi si capitalist nation.

kwanini mna akili zenye ram ndogo hivi??
Mkondo mliochukua ni capitalism, kwani hauna picha? unaishi wapi wewe.., ujamaa haipo, ni effects tu zimebaki, Kama ukarimu wa kinafiki na uzembe.
 
Mkunya sio mstaarabu asikwambie mtu nimeshasema mara nyingi amejaaliwa roho ya husuda,ukitaka dharau,majivuno ya kijinga na etc kaa naye utamuelewa tu, huaga wanaona wako special kushinda wote🙂
Labda special kwa kulamba miguu ya wazungu na uroboti wa kutumikishwa na wazungu (Vibaraka). Apart from that most Kenyans are total mediocre!
 
Labda special kwa kulamba miguu ya wazungu na uroboti wa kutumikishwa na wazungu (Vibaraka). Apart from that most Kenyans are total mediocre!
fafanua maana ya mediocre., and in context...,.,

Uhali gani kaka., toa strategy ya kuvuna, si waelewa.., pale base.
 
fafanua maana ya mediocre., and in context...,.,

Uhali gani kaka., toa strategy ya kuvuna, si waelewa.., pale base.
Nenda kaangalie kwa dictionary then choose the definition of mediocre that suits you Kenyans best. 😃 😃 😃 Mambo mengine poa tu ila kama kawaida mna roho ngumu sana za dhuluma hadi kwenye yale mambo yetu!
 
sasa sababu mnaleta nyènyeenye naficha link
20210306_160037.jpg
 
Nenda kaangalie kwa dictionary then choose the definition of mediocre that suits you Kenyans best. Mambo mengine poa tu ila kama kawaida mna roho ngumu sana za dhuluma hadi kwenye yale mambo yetu!
Kivipi?., elewa dunia usilaumu mtu., Umechezwa?
 
Ona tena , the forces of demand and supply determines prices, soko huru, elewa economics wacha kujifanya mkarimu, Kenya ain't a wicked socialist country, we are a capitalist state and prevailing market prices as a result of supply/demand determines bei ya kuuza, supply ikiwa mingi bei inashuka, na pia cost of production kwa wa kulima matters, uwezi kuuza bei ambayo itakupeleka hasara, na ukinunua mahindi nje kisha uje uuze bei ya chini sana utakua unaharibu soko na kukandamiza wakulima, in the same principle serikali za Africa zimeanza kubana bidhaa za wachina ili kuokoa viwanda vya ndani, sasa wewe na hizi fikra zako uchwara utaenda China ama Brazil kwa mfano, Kisha ukanunua sukari kwa bei ya chini, kilo unaeza pata na kshs30(Tshs600) buying in bulk, Kisha uje uuze bei ya chini, like kshs50(Tshs1000) kwa kilo! which is below the market price ya nchi, hapo utakua unaua wana biashara wa sukari nchini na kufilisisha sugar factories!! get exposure, this is the business Dynamics of the world, fikra zako hazina maana kwa ulimwengu wa sasa, ni wa kijamii tu. Umasikini 'wholistically' is a curse, totally limited even to reason tu, sad.
Naelewa sasa ni kwanini Tanzania ni nchi maskini ya kutupwa, it is a software problem, sio ardhi.
Wewe sijui umenielewa au umekimbilia kuarisha maneno? Kama hujapata point ntarudia tena you kunyans are very selfish and like exploiting others mda sio mrefu mtaelewa kwanini huaga tunawaita failed state 🙂
 
Wewe sijui umenielewa au umekimbilia kuarisha maneno? Kama hujapata point ntarudia tena you kunyans are very selfish and like exploiting others mda sio mrefu mtaelewa kwanini huaga tunawaita failed state
Blind patriotism inakusumbua, hauwezi fikiria kamwe., it is clouding your judgement, sasa ni wivu na chuki tu, kwa hili swala la mahindi napenda maoni ya wakulima not city slum dweller kama wewe.,
Be my guest, zako humu ni utoto na kelele za chura, wacha hasira nanii.,
See how serious people from Tz reacted, wacha shabiki za kitoto and try to reason;
Screenshot_20210306-162528.jpg

Screenshot_20210306-162538.jpg

Screenshot_20210306-162551.jpg

Screenshot_20210306-162003.jpg

Screenshot_20210306-162050.jpg

Screenshot_20210306-162126.jpg
 
Back
Top Bottom