Ona tena



, the forces of demand and supply determines prices, soko huru, elewa economics wacha kujifanya mkarimu, Kenya ain't a wicked socialist country, we are a capitalist state and prevailing market prices as a result of supply/demand determines bei ya kuuza, supply ikiwa mingi bei inashuka, na pia cost of production kwa wa kulima matters, uwezi kuuza bei ambayo itakupeleka hasara, na ukinunua mahindi nje kisha uje uuze bei ya chini sana utakua unaharibu soko na kukandamiza wakulima, in the same principle serikali za Africa zimeanza kubana bidhaa za wachina ili kuokoa viwanda vya ndani, sasa wewe na hizi fikra zako uchwara utaenda China ama Brazil kwa mfano, Kisha ukanunua sukari kwa bei ya chini, kilo unaeza pata na kshs30(Tshs600) buying in bulk, Kisha uje uuze bei ya chini, like kshs50(Tshs1000) kwa kilo! which is below the market price ya nchi, hapo utakua unaua wana biashara wa sukari nchini na kufilisisha sugar factories!! get exposure, this is the business Dynamics of the world, fikra zako hazina maana kwa ulimwengu wa sasa, ni wa kijamii tu. Umasikini 'wholistically' is a curse, totally limited even to reason tu, sad

.
Naelewa sasa ni kwanini Tanzania ni nchi maskini ya kutupwa, it is a software problem, sio ardhi.