sevenup
JF-Expert Member
- Aug 17, 2018
- 2,548
- 2,448
Hujui kwamba kwa mara nyingine corona ishapigwa TzNyinyi mlifika wapi na maombi?![]()







Naona Jacaranda trees, kuna watu wanataka kushindana na Tz kwenye Jacaranda trees







Ndo kusema kwamba nyinyi ndio waanzilishi ama? Au kwamba kwenu zimejaa tele au sio, hv vijamaa bhnNaona mumeanza kukumbatia huu mfumo wa "maboxes" na gated communities. Ona mandhari inavyovutia na kupendeza hadi raha! Mnaiponda humu ndani ila moyoni mnaikubali sana![]()









KaumiaHii story ya mzungu utachoka nayo lini? Are they some gods to you?








Maskini Hana khabari 🤣🤣🤣🤣🤣Hujui kwamba kwa mara nyingine corona ishapigwa Tz![]()
Nikianza kupost picha za gated communities kama hizo sitafikia hata 1/8 yao. Mara nyingi mmeziponda hapa kisa na maana zinahesabika Dar ila moyoni mnazishabikia na kuzitamani kinyamaNdo kusema kwamba nyinyi ndio waanzilishi ama? Au kwamba kwenu zimejaa tele au sio, hv vijamaa bhn![]()
Round hii mkulu alisemaje baada ya maombi kutofua dafu? Au this time round mnajinyunyuzia maji ya uzima? 😂 😂 😂 Enyewe sikio la kufa halisikii dawa.Hujui kwamba kwa mara nyingine corona ishapigwa Tz![]()
Corona chaliiiRound hii mkulu alisemaje baada ya maombi kutofua dafu? Au this time round mnajinyunyuzia maji ya uzima?![]()
![]()
Enyewe sikio la kufa halisikii dawa.









Jamaa wachawi sn hawa, naskia siku hizi wanatoa degree ya uchawi pale chuoni kwao.








