Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndo kusema kwamba nyinyi ndio waanzilishi ama? Au kwamba kwenu zimejaa tele au sio, hv vijamaa bhn
Nikianza kupost picha za gated communities kama hizo sitafikia hata 1/8 yao. Mara nyingi mmeziponda hapa kisa na maana zinahesabika Dar ila moyoni mnazishabikia na kuzitamani kinyama
 
Hujui kwamba kwa mara nyingine corona ishapigwa Tz
Round hii mkulu alisemaje baada ya maombi kutofua dafu? Au this time round mnajinyunyuzia maji ya uzima? 😂 😂 😂 Enyewe sikio la kufa halisikii dawa.
 
Hivi bwana mapesa yuko wapi
Screenshot_20210301-143519.jpg
 
Back
Top Bottom