ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Unaeza jionea nimezoom kwann mzungu kaona slum hapo 🤣🤣🤣👇👇👇Mbona hii unaikwepa? 😂 😂 View attachment 1715495
Unaeza jionea nimezoom kwann mzungu kaona slum hapo 🤣🤣🤣👇👇👇Mbona hii unaikwepa? 😂 😂 View attachment 1715495
Sal salinero moshi
Wewe mbona hushangai Mbeya inaitwa city?!Mbona hushangai moshi ni town na sio city 🤣🤣🤣🤣🤣
Hata Kibera iko na barabara za lami Kijana. Acha kujitoa ufahamuNimekusaidia kuzoom haya tuoneshe slum na nimekuchorea na barabara kabisa 🤣🤣🤣👇👇👇👇 yani mzungu awe mjinga kuliko fala weweView attachment 1715503
Sina muda na wapumbavu.Nyinyi mlifika wapi na maombi?![]()
Kuna utalii(mlima klm,klm national park, viwanda,service,kilimo, usafirishaji)Kitega uchumi ya Moshi ni nini?
Mpumbavu ni mtu anayeamini janga linalohitaji suluhisho la kisayansi inaweza zuiwa na maombi 😂Sina muda na wapumbavu.
Naona mumeanza kukumbatia huu mfumo wa "maboxes" na gated communities. Ona mandhari inavyovutia na kupendeza hadi raha! Mnaiponda humu ndani ila moyoni mnaikubali sana 😂
mmefata suluhisho gani la kisayansi sasa nyinyi mbayuwayu!!!!!Mpumbavu ni mtu anayeamini janga linalohitaji suluhisho la kisayansi inaweza zuiwa na maombi 😂
Mbeya unaiweza wewe??? Hebu ijaribu uoneWewe mbona hushangai Mbeya inaitwa city?!
Uheheheh umeona kwann mzungu anaakili zaidi kukuliko wewe 😀😀😀😀 yani afunge technology hewani ya ya mabilioni dollar asione slum dar aone ya ulimwengu mzimaHata Kibera iko na barabara za lami Kijana. Acha kujitoa ufahamu
Nashangaammefata suluhisho gani la kisayansi sasa nyinyi mbayuwayu!!!!!
ili angarau tuwaige??


