Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
Ukishaona mtu anatype kwa Herufi kubwa kama wewe. Mara nyingi huwa darasa halipo.NAIROBI NDO MJI MZURI EAST AFRICA NA MOMBASA UWEZI COMPARE NA TANZANI HAPA DAR ES SALAM MJI UPO KAMA MAFUNGU YA NYANYA MVUA IKINYESHA NI MIMAJI TU ACHENI UBISHI WA KINA MADENGE KENYA WAKO JUU MKUBALI MKATAE NDO MANA KATIKA BEAUTIFUL CITY IN AFRICA KENYA IPO ATA AIRPORT NZURI PIA KENYATA AIR PORT IPO...KAMA UMESHINDWA TATHIMI HIVYO VITU ACHA KUTYP PUMBA UMU NA KUTUTIA AIBU TZ KENYA IZ VERY BEAUTIFUL IN EAST AFRICA.
Naona unamaliza mb zako bure kushindana na mtu aliyeshindwaKwikwikwikwi naona mmeanza kutoa mapovu meengi kama mmemeza sabuni. Kila kona tunawagonga sijui mtatokea wapi. Kwikwikwikwi.
Achana naye huyoKwikwikwikwi naona mmeanza kutoa mapovu meengi kama mmemeza sabuni. Kila kona tunawagonga sijui mtatokea wapi. Kwikwikwikwi.
HahahaaaaUkishaona mtu anatype kwa Herufi kubwa kama wewe. Mara nyingi huwa darasa halipo.
Hivyo basi, ukiona mada kama hizi kaa pembeni waache wabobezi wajadili kwa hoja.
Times Tower ya miaka 1980![]()
hii design ya zamani?....wewe una kichaa...sema Tiomes Towers ndio ina design ya zamani ila ni ya miaka ya 1980s kule..kwa hiyo tunaelewa....ona usiku...yannni kameremeta kama nini
![]()

One beautiful glass building in a concrete Jungle
Only front what about other sides?????Coop Bank house![]()
Dar huifahamu vzr ndugu 😀😀😀😀nikileta picha za Upperhill unainua mikono juu kaka...dar ina CBD ngapi kama si moja tu? ila ukija nai utapata CBD tatu na zaidi
City of slumswashenzi wanaunda towers tatu alafu wanadai pishana na The Mighty Nairobi. . ...This thread is good for passing time though. .ama namna gani my frens
Mlikua mnataka glass kwani nimefilter in glassBig up to the guy who put those filters.![]()
![]()
![]()
Tallest building na mnara wa 60m 😀😀😀😀britam ni ushamba? naona sindano imeingia kwel kwel....hehe....yaani tallest building in east africa...in fact nairobi ina first, second thrird and fifth buildings in east africa...nyie mna vibanda hapo mnaita mijengo....hehehehe
Nairobi iko juu usibishane na kichaa wa uku mirembegame over....nairobi 10 dar 0
![]()
![]()
![]()
![]()