Hiyo picha ya kwanza
Ndio Ile huwa wanapiga picha vipande vipande ili kuficha hiyo slum pembeni!
Yule mwehu huaga ana time mda manesi na walinzi Wana badilishana shift bugando ya kenya a.k.a mathare mental hospital anaanza kutype comments na post ambazo hazina msingiπHuyo faoro ni kichaa ni kichaa asiyejitambua kwamba ni kichaa anachoongea wala haeleweki sijui nyinyi kama mnamuelewa but mm huwa simwelewi na huwa naruka comments zake![]()
π€£π€£π€£UmeonaChizi kama huyo inabidi ajibiwe hv![]()
Unacheka tamaduni za kiafrika kwa nini?? Kwavyo Wamaasai wenu hawaishi kwenye manyatta?Unpopular town ya Tanzania
Niliwaambia tuanze battle ya unpopular towns kuona nchi ipi inatia huruma kwenye planning wakakimbia
Musoma πΉπΏπΉπΏπΉπΏ
View attachment 1710542View attachment 1710545
Musoma ya Kenya
View attachment 1710547
Kuna Akina kariadudu,glucolor,kiamaiko na za westalands kibagare/kangemi slums etc alafu jamaa anaongelea planning πKwenye hii list hakuna soweto slums huko kasarani lakini kwa ground ni bigger than mathare and kibera combined
Yaani nairobi huwezi hesabu slums zote ukazimaliza hata upewe mwaka mzima
Kitu cha soweto hicho dadeq
View attachment 1710504
Thank you for this report, on "informal settlements" Dar informal settlements ni 80% of the whole sq km unafahamu hilo?., ama haujui maana ya informal settlements..,

the real shit from the hole.πππππ maskini tuskeys kwishaa
Leta report inayosema Dar inaongoza duniani kwa slum expansion, Kenya kila dakika slums zinapanuka kwa kilometers kadhaa π π πThank you for this report, on "informal settlements" Dar informal settlements ni 80% of the whole sq km unafahamu hilo?., ama haujui maana ya informal settlements..,the real shit from the hole.
Leta report inayosema Dar inaongoza duniani kwa slum expansion, Kenya kila dakika slums zinapanuka kwa kilometers kadhaa![]()





Nakuleta vitu kwa ground not an opinionated piece kaka..,Leta report inayosema Dar inaongoza duniani kwa slum expansion, Kenya kila dakika slums zinapanuka kwa kilometers kadhaa![]()
π π π π π π πTanzania ya sasa haikomboleki karne hii., ukubwa wa ushuzi ukilinganisha na economic output, pengine muujiza utendeke., ila naamini miujuza., jiombeni sana, wachana na vya Kenya.,
This is the average standard life ya watanzania., not extreme...
View attachment 1710578
View attachment 1710585
View attachment 1710573
View attachment 1710569
View attachment 1710580
View attachment 1710578
View attachment 1710571
View attachment 1710567
View attachment 1710582
View attachment 1710583
Wanaongoza ulimwenguni kwa slums expansion π π π π
Leta Dar yenye muonekano huu saivi nilog offNakuleta vitu kwa ground not an opinionated piece kaka..,
Na bado hatujawafikia kwa kutapakaa kwa ushuzi kote kote, hapa hatufiki, tunakoma kwa sasa mko champions league kaka.,
Wow Sumbawanga imepangwa ikapangika. Hongera hapo.Kenyatta alikudanganya hvo π€£π€£π€£ hii ni sumbawanga
Kwani nairobi imepangika na hzo slums zilitoka wapi au zilishushwa kutoka mbinguni
View attachment 1710515View attachment 1710516
Na hiyo ndio standard of living in TanzaniaWow Sumbawanga imepangwa ikapangika. Hongera hapo.
Geza Ulole sasa nadhani umenielewa. Sumbawanga ndio mji uliopangika sio huu utopolo wa Dar. Nyumba zimefinyana kishenzi na barabara ni konde
View attachment 1710599
Look access roadsNa bado hatujawafikia kwa kutapakaa kwa ushuzi kote kote, hapa hatufiki, tunakoma kwa sasa mko champions league kaka.,
View attachment 1710598