Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We ndio ulete ya uswazi 2020 tulinganishe, mm natumia hyo hyo
🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇👇 mombasa hakuna streets za one way ila kuna ushuzi wa nguruwe
15580377-FA84-4649-BD69-947336B40F1B.jpeg
EA4983EE-76E9-438A-B763-E4EC43DB935D.jpeg
DB38E47F-B558-4A86-86BB-68CB741C4B55.jpeg
93E690CF-6AB6-45E6-8851-4E1115D6E247.jpeg
6A64021D-1B83-4FFA-A851-8F4FB2AD2414.jpeg
 
hiyo ndiyo maana halisi ya kazi ndani ya bunge......

we unataka bunge zima lisifie tu,,,,
Mbona mwenzenu alipoleta hali ya katika bunge la county ya migori hamkujitokeza ki hvi, naona mumekua wapole kweli
 
Jamaa wa express way haitojengwa, mambo vipi!!

Siku hizi imegeuzwa kauli, eti "Pain" hahaha.

Jitayarishe huu mwaka kama utaumia
Inajengwa na nani ??? Kwa pesa ya nani??? Na itamilikiwa na nani kwa miaka 30 ?? Na watakao tozwa ushuru wa kupita ni kina nani kwa miaka 30??? Kwanzia boda boda 100ksh mpaka 1795ksh magari ??? Naomba majawabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ili nione ww na mchina nani mwenye akili
 
Mbona mwenzenu alipoleta hali ya katika bunge la county ya migori hamkujitokeza ki hvi, naona mumekua wapole kweli
siyo upole buo ndiyo ukweli mambo yapo tofauti,siasa ya kenya haifanani na tanzania pia siasa ya Tsnzania haifanani na ya kenya...
 
Inajengwa na nani ??? Kwa pesa ya nani??? Na itamilikiwa na nani kwa miaka 30 ?? Na watakao tozwa ushuru wa kupita ni kina nani kwa miaka 30??? Kwanzia boda boda 100ksh mpaka 1795ksh magari ??? Naomba majawabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ili nione ww na mchina nani mwenye akili
We ulisema haitajengwa sivyo!???
 
Back
Top Bottom