Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tulianza kununua ndege za asakri kutoka kitambo
Kwhyo swala la kuwa na ndege za mda kila nchi amabayo imeanza kitambo wanazo
So kwanini haipiti mwezi kama sio chopper basi ndege lazma ianguke ??? Nani aliwaroga nyinyi 😅😅😅😅😅
 
Kwamba miaka 40 kq inamiliki ndege tatu alaf muko hapa munatafuta mchawi wa loss eti loss ya miaka 10 inatoka wapi ?? Nimeskia mushaanza kugeuza ndege za abiria na kua freight hahahhahaha tutaona mengi mwaka huu
Mumeanza kumiliki ndege juzi
Mumetoka ldc juzi
Niendeleeee
 
So kenya imepata mama mgina juzi wakat mwanza ziko zaidi ya 10 tena zaidi ya miaka 10 au nasema urongooo
Zanzibar ina forodhani public park leo miaka 40
Km vile tanzania km nchi ilivyopata flyover juzi km nchi
 
So tuseme 14b ksh tax payers money for BBi zinaelekea kuteketea🤣🤣🤣🤣

 
So tuseme 14b ksh tax payers money for BBi zinaelekea kuteketea

Huyu mama anachokisema kweli au nae ni mpiga dili
20210211_000857.jpg
 
Back
Top Bottom