ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Na wala haitotokea
Mombasa hatuna street za one way ulivoona kibano ukaona utokee kwengine hapa hutoki mzeee![]()
View attachment 1700265View attachment 1700266


🤣🤣🤣🤣🤣🤣 pitia na hapa alaf ulete ushuzi tuuone basiNa wala haitotokea![]()










🤣🤣🤣🤣 Waturuki wanachekesha, hivi waliamua kabisa, termination ya rail iwe bridge???? Tena katikati ya tao!!!!!!Wakenya wote naomba muangalie hapa matunda ya hard working, wallahi elimu imetusaidia sana watanzaniaView attachment 1700247
Kodi zenu ndio mnazilipia kodiSi bora hio pesa zinarudi serekalini na ajira zinaenda kwa watanzania hio ya mchina pesa zinaenda wapi???na ajira zinaenda kwa nani???




Mbona unateseka na nimeshakwambia haitowai kutokeaNasubiri upate mm nifunge acc forever



Ndio zinaenda kujenga sehemu nyingine nyie mchina akichukua kodi zenu anapeleka wapi??🤣🤣🤣🤣 na ajira zenu zinachukuliwa na nani ??? Yani historia inajirudia kama SGr tuKodi zenu ndio mnazilipia kodi![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 kama hzi ni two ways kweli haitatokeaMbona unateseka na nimeshakwambia haitowai kutokea
Au ndio una force tufanane mzee wa one way
Hoja kwamba hzi ni two ways 🤣🤣🤣👇👇Hoja kwishaa![]()
Amerika records helkopta accidents nearly on weekly basisSo Kenya na Amerika nani mwenye nyingi, tumia akili punguani wewe![]()
Km vile kw mturukiNdio zinaenda kujenga sehemu nyingine nyie mchina akichukua kodi zenu anapeleka wapi??na ajira zenu zinachukuliwa na nani ??? Yani historia inajirudia kama SGr tu


🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na hua haipiti mwezi lazima chuma kiitikeSababu zipo nyingi! We ulitaka Tz iwe na habari kama hizi na ina helkopta moja!?
Bado unatafutaz kazana kabisakama hzi ni two ways kweli haitatokea
Nilitaka kushangaa akbie mwenzako wewe ubaki salama
Uhehehhehee munaumia kuskia tanzania inatoa pesa zake wakat kenya munaenda kopa km 5 ya reli 😅😅😅😅😅Km vile kw mturuki![]()
Haipiti mwezi lazima wakuu wa hko kwenu bila ya kuyumba na v8 zaona hua haipiti mwezi lazima chuma kiitike
Atokeee mkenya mwengine aje asaidie 😅Bado unatafutaz kazana kabisa
Leta matukio ya kila mwezi nataka kuyaona magufuli kawanyima usingizi😃😃😃😃Haipiti mwezi lazima wakuu wa hko kwenu bila ya kupata ajali na v8 zao
Mboni deni limeoanda basiUhehehhehee munaumia kuskia tanzania inatoa pesa zake wakat kenya munaenda kopa km 5 ya reli![]()

