Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

With only 10 yrs of hard working
JamiiForums1966286991.jpg
 
Inajengwa na nani ??? Kwa pesa ya nani??? Na itamilikiwa na nani kwa miaka 30 ?? Na watakao tozwa ushuru wa kupita ni kina nani kwa miaka 30??? Kwanzia boda boda 100ksh mpaka 1795ksh magari ??? Naomba majawabu ili nione ww na mchina nani mwenye akili
Km ile yenu mliojengewa na serekali na bdo mnatozwa kodi, hata sisi tutalipia hvo hvo
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haitopata kabisa, tena sahau
Mombasa hatuna street za one way ulivoona kibano ukaona utokee kwengine hapa hutoki mzeee🤣🤣🤣👇👇👇
38FBE42F-59F0-47F2-9AFC-B4168F6DA9AF.jpeg
9DB090A9-6E9D-49CB-860A-F39754535703.jpeg
 
siyo upole buo ndiyo ukweli mambo yapo tofauti,siasa ya kenya haifanani na tanzania pia siasa ya Tsnzania haifanani na ya kenya...
Ka quote na mwenzako ile ya migori ujibu hvi hvi basi ndio nione km sio unafiki
 
Km ile yenu mliojengewa na serekali na bdo mnatozwa kodi, hata sisi tutalipia hvo hvo
Si bora hio pesa zinarudi serekalini na ajira zinaenda kwa watanzania hio ya mchina pesa zinaenda wapi???😅😅😅😅 na ajira zinaenda kwa nani???
 
Back
Top Bottom