Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usikane watanzania wenzako, wamevaa viatu wanajua where it hurts perfectly., hampendi ukweli, but that is it exactly. Mambo kwa ground sio rosy kaka, your reasoning is a mere denial of truthkwa vile hampendi ukweli.
ni haki yako kuchagua nini cha kusikia, ila inaonekana jf umeijua leo na vyumba vyake. endelea kuitembelea utagundua mengi sana. hata zile kelele kwamba mna uhuru wa kuongea kutuzidi zitakosa ladha kinywani mwako.

hao wanaandika biashara zinakufa dar kila kukicha,sisi tunakaa dar hiyo hiyo ambayo zinazaliwa biashara 10x ya zilizokufa lakini hawasemi.

huku kuna siasa za maslahi ndio sababu unaona kelele zinabaki humu humu jf.
 
Nina swali. Naomba ujibu kwa adabu bila matusi. Hii sheria mpya iliyotungwa itacancel yale macontracts mbovu ya kinyonyaji yaliotiwa saini wakati wa awamu ya tatu? Au sheria hii haiwezi kucancel hizo contracts?
Hehehehee Wakenya wenzio wanasema awamu ya tatu ilikuwa bora kuliko hii
 
ni haki yako kuchagua nini cha kusikia, ila inaonekana jf umeijua leo na vyumba vyake. endelea kuitembelea utagundua mengi sana. hata zile kelele kwamba mna uhuru wa kuongea kutuzidi zitakosa ladha kinywani mwako.

hao wanaandika biashara zinakufa dar kila kukicha,sisi tunakaa dar hiyo hiyo ambayo zinazaliwa biashara 10x ya zilizokufa lakini hawasemi.

huku kuna siasa za maslahi ndio sababu unaona kelele zinabaki humu humu jf.
Go and defend your position na concrete facts, pinga hoja kwa kuonyesha mambo yako tofauti., kwa mfano what is your take on such, sema ni uwongo Kisha weka facts yako on the same issues and exact place inayozungumziwa kuonyesha hawa ni waongo; tuende pole pole Basi...
Screenshot_20210209-235845.jpg

Screenshot_20210209-235654.jpg

Screenshot_20210209-235306.jpg
 
Go and defend your position na concrete facts, pinga hoja kwa kuonyesha mambo yako tofauti., kwa mfano what is your take on such, sema ni uwongo Kisha weka facts yako on the same issues and exact place inayozungumziwa kuonyesha hawa ni waongo; tuende pole pole Basi...
View attachment 1698956
View attachment 1698962
View attachment 1698960
sina huo muda, watu wanaandika majungu 24/7 unaweza weka hoja gani ikaeleweka hapo!!!

ukweli utajitangaza wenyewe, ndio maana huwa tunawaacha watafute njaa, baadae tunawaletea vitu bayana wanabaki uchi.
 
sina huo muda, watu wanaandika majungu 24/7 unaweza weka hoja gani ikaeleweka hapo!!!

ukweli utajitangaza wenyewe, ndio maana huwa tunawaacha watafute njaa, baadae tunawaletea vitu bayana wanabaki uchi.
Umekwepa?., I knew you fear a truth yenye inaonyesha hali halisi ya average Tanzanian not dreams, Kama mtu anaweka mfano kwa ground, ana mention exact place na what is happening hiyo itakua majungu vipi? Watanzania ni wazalendo sana, hilo liko wazi, na ukiona mtu analia ni lazima amefinyika ama amefinywa., your argument does not hold water here., not at all!
 
Umekwepa?., I knew you fear a truth yenye inaonyesha hali halisi ya average Tanzanian not dreams, Kama mtu anaweka mfano kwa ground, ana mention exact place na what is happening hiyo itakua majungu vipi? Watanzania ni wazalendo sana, hilo liko wazi, na ukiona mtu analia ni lazima amefinyika ama amefinywa., your argument does not hold water here., not at all!
hao ndio wanadai tz kuna corona ila walikaa mapua wazi kipindi cha campaign na mgombea wao.

unafikiri kwanini nikukataze wewe, na wao kupiga makelele?? nyie endeleeni na kelele tu.
 
hao ndio wanadai tz kuna corona ila walikaa mapua wazi kipindi cha campaign na mgombea wao.

unafikiri kwanini nikukataze wewe, na wao kupiga makelele?? nyie endeleeni na kelele tu.
Now you see? Kile kinachojadiliwa sio corona, ni hali ilivyo kwa ground at the moment., hakuna aliye jitokeza kupinga, wote wanakubali na kusema ni hali ilivyo not only in Dar but across the country., people are giving their experiences., wengine wanatoa maoni ya what the govt should do to alleviate the pain., Read keenly., wacha vijisababu uchwara kaka..,
Screenshot_20210209-235018.jpg

Screenshot_20210210-000008.jpg

Screenshot_20210210-000147.jpg

Screenshot_20210209-235540.jpg

Screenshot_20210209-235103.jpg
 
Now you see? Kile kinachojadiliwa sio corona, ni hali ilivyo kwa ground at the moment., hakuna aliye jitokeza kupinga, wote wanakubali na kusema ni hali ilivyo not only in Dar but across the country., people are giving their experiences., wengine wanatoa maoni ya what the govt should do to alleviate the pain., Read keenly., wacha vijisababu uchwara kaka..,
View attachment 1698968
View attachment 1698969
View attachment 1698970
View attachment 1698971
View attachment 1698973
Hey. Unatuharibia thread. Kama umeshindwa kujadili kaa kimya. Tutakushitaki kwa mod upigwe ban.
 
Now you see? Kile kinachojadiliwa sio corona, ni hali ilivyo kwa ground at the moment., hakuna aliye jitokeza kupinga, wote wanakubali na kusema ni hali ilivyo not only in Dar but across the country., people are giving their experiences., wengine wanatoa maoni ya what the govt should do to alleviate the pain., Read keenly., wacha vijisababu uchwara kaka..,
View attachment 1698968
View attachment 1698969
View attachment 1698970
View attachment 1698971
View attachment 1698973
nimekupa mfano wewe mbuzi, ukiwasikiliza hao watakupoteza.

hali ilivyo kwa ground huwezi ipata huko siasani kwa wanasiasa wa jamii forums tembea mtaani, ambako maisha yanaendelea, kama kawaida.
 
nimekupa mfano wewe mbuzi, ukiwasikiliza hao watakupoteza.

hali ilivyo kwa ground huwezi ipata huko siasani kwa wanasiasa wa jamii forums tembea mtaani, ambako maisha yanaendelea, kama kawaida.
Wewe hauna lolote la kuonyesha mambo ni tofauti., Kwani wale wanaishi Mars?, wanataja hadi exact places na kukariri mambo yalovyo, wewe ungesema pale sehemu haipo vile, wewe imepita pale ukaona ni tofauti., Mwingine kataja hoteli flani haina umeme, ungepinga kwa kudhibitisha kuna umeme, wengine wanasena ofisi zimekosa wakukodi area flani, ni mabenki ndio yamebaki, wewe ungekanusha na facts., hauna lolote unakwepa tu na vijisababu uchwara, wewe sasa ndio MBUZI mwehu.,
 
Wewe hauna lolote la kuonyesha mambo ni tofauti., Kwani wale wanaishi Mars?, wanataja hadi exact places na kukariri mambo yalovyo, wewe ungesema pale sehemu haipo vile, wewe imepita pale ukaona ni tofauti., Mwingine kataja hoteli flani haina umeme, ungepinga kwa kudhibitisha kuna umeme, wengine wanasena ofisi zimekosa wakukodi area flani, ni mabenki ndio yamebaki, wewe ungekanusha na facts., hauna lolote unakwepa tu na vijisababu uchwara, wewe sasa ndio MBUZI mwehu.,
nikifanya hivyo utaamini na kichwa huna!????
 
Hey. Unatuharibia thread. Kama umeshindwa kujadili kaa kimya. Tutakushitaki kwa mod upigwe ban.
Wewe kaa kando, hauna mental frame kujadili lolote, your low iq is evident humu ndani., wacha ukweli uwekwe wazi mbona wasi wasi?, Kama uko na point ya kukanusha exactly what is said basi mwaga humu, na Kama hauna fyata na kupita kimya kimya.,
 
I thought I will see something magnificent or some substantial development, lakini wapi!!, Unatafuta attention crying baby?, Kusema ukweli kama ni hivi mko na unapiga kifua basi mmekua kichakani kwa mda mrefu, yaani hii clip inakushangaza ichoboy01?? Really? Ni nini cha ajabu hapo???., honestly!!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nilijua lazma ulie hakuna namna zaidi ya kulia tu
 
balls zipo, tatizo kichwa ndio huna.

utaonaje!!!
Jipe shughli kaka., umekosa jibu kwa wenzako wanaolia., nilijua hauwezi lolote, especially ikija ni ukweli with undeniable facts adios amigo, off you go, goodbye
 
Back
Top Bottom