Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leo nilitembelea pande za uswahilini huko kiwalani,aisee hii nchi inajengwa yn huko kiwalani ni lami tupu, kule mbele kuna soko kubwa ghorofa mbili ila nilikuwa fasta sikupiga picha ila bado nina safari ya kwenda kule nitaweka humu picha zikiwa poa cz hapo nilipiga Fasta Fasta ila next time napiga na soko
IMG_20210208_191131_911.jpg
IMG_20210208_191120_885.jpg
IMG_20210208_191103_462.jpg
IMG_20210208_191058_382.jpg
IMG_20210208_191050_829.jpg
 
Leo nilitembelea pande za uswahilini huko kiwalani,aisee hii nchi inajengwa yn huko kiwalani ni lami tupu, kule mbele kuna soko kubwa ghorofa mbili ila nilikuwa fasta sikupiga picha ila bado nina safari ya kwenda kule nitaweka humu picha zikiwa poa cz hapo nilipiga Fasta Fasta ila next time napiga na soko View attachment 1697924View attachment 1697925View attachment 1697926View attachment 1697927View attachment 1697928
Matusi ya DMDP hayo barabara zina taa na safi tu yn kuna waka na co hapo tu, DMDP imechafua Uswahilini kibao tu, ss nitaanza kutembelea kunako uswazi niwaoneshe hawa watu
 
tender bado.. mchina ndo atatoa hela.. it’s obviously makampuni yao ndo itajenga

mkianza kusikia Magu anaongelea SGR ya Isaka-Makutupora moja kwa moja hasa jiwe la msingi wa Isaka-Mwanza ujue mambo tayar kwenye ishu ya finance
Kama hii habari ni kweli, then tutegemee yafuatayo, tender ya tabora - kigoma inaweza tangazwa anytime next year.
AfDB wanaweza release fund ya Isaka - Kigali kwani uhakika wa connection ya dar - isaka utakuwepo.
Haya ni maoni yangu.
 
Back
Top Bottom