anamuonea wivu ,,,siunajua kazidiwa vigezo na demu mwenzakeEti uzi fake!



Kwn wale ambao mnawaita wageni huku kwetu kenya ndio hawana stahiki zote za kikenyaHatunaga ubaguzi sisi,mtu akizaliwa Tanzania anapata stahiki zote za kitanzania,ndio maana huku kuna wakina mungai,kairuki,njoroge n.k washawahi kushika nyadhifa kubwa serikalini mpaka uwaziri


Huyu hawezi kuwa binadamu wa kawaida huyu, anakuuwa dk 0 tu huyu, mpk kufika hapo keshaona mengi na hata kutoa roho kwake ni kawaida sn km kuuwa sisimizi vile.Tuvuruge mada kidogoView attachment 1696011
Mkuu huoni mwenge huo kwenye kofia? JWTZ uyo.askari wa wapi huyu?
Umerudi pale pale ya kwamba kwenu ni watz kwetu ndio wageniRaha ya Tanzania uwe mhindi,mzungu,msomali n.k,mkoa utakaozaliwa basi ndio kabila lako litakua la hapo utakapozaliwa,bashe hapo ukimuuliza kabila atakuambia mnyamwezi,wenzetu mungiki hawanaga hiyo kitu,nairobi kuna mtaa ni wasomali watupu!



🤣 nilikuwa najua curtis jr2 ni Mkenya aliyechanganya picha, nikamtega!!Mkuu huoni mwenge huo kwenye kofia? JWTZ uyo.
Huko kwenu jaluo na kikuyu washaanza kuoleana ?🤣Umerudi pale pale ya kwamba kwenu ni watz kwetu ndio wageni
Unajificha na unafiki lkn imeshindikana, *****, kwn ni kosa la jinai wasomali kuishi sehemu moja
sikilizen hii.. kiwanda kingine hiki
huyu nae yupo huku anakula maisha VP unamjua?View attachment 1696076View attachment 1696075take your time bitchMaduka ya kuuza uzi wa dera![]()
Hahaha Kwa hivyo umekubali kwamba mpira imewakataa?
Mbona asikae kwao km yupo vizuri ama aende ulaya..huyu nae yupo huku anakula maisha VP unamjua?View attachment 1696076View attachment 1696075take your time bitchView attachment 1696077
Mpka wasomali wanapigwa mimba, we unauliza wajaluo na wakikuyuHuko kwenu jaluo na kikuyu washaanza kuoleana ?![]()


😂😂😂😂😂😂😂😂😂kumbe unafatiliaga 🇹🇿🇹🇿Mbona asikae kwao km yupo vizuri ama aende ulaya..
Mnaenda kubeba vijana maboya ambao hata academy hawaja qualify halafu unakuja kuturingishia hapa..
Haya huyo hapo kw timu kafanya nn tangia ajiunge mpka utukane watu we kenge..