Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,701
- 107,146
Ethiopia is horn of Africa si East Africa perse!Hehehe!!we si ulisema east africa[emoji1787][emoji1787]
Imekuaje tena unaweka EAC..
Kw sasa EAC hakuna treni za umeme
Kweli kabisa mkuu yn umeongea kitu konki sn mfano pale Buguruni kwa Bakhressa lile geti pale mbele ya barabara linasabisha mlundikano wa magari pasipo sababu yoyote, wkt wangeweza kuziba pale na kuweka geti nyuma kule, yn ile viaduct pale Buguruni alafu mbele kdg unakutana na mfugale flyover panependeza sn ila lile geti pale walitoe bhn.Kutoka Julius Nyerere International Airport mpk kufikia kituo cha station,ni eneo pekee kwa sasa litakaloreflect uwekezaji mkubwa wa miundo mbinu katika jiji la kibiashara la Dar es Salaam uliofanywa na mpendwa wetu Rais wetu wa JMT, John Joseph Pombe Magufuli na watendaji wake,from flyovers to viaduct,from BRT to SGR plus upanuzi wa bandari ya Dar es Salaam,Ni wito wangu kwa makampuni yaliyopitiwa na miradi hii mikubwa kuimprove na kumaintain front view na entrance ya ofisi zao haingii akilini makampuni makubwa makubwa along the ways yakashindwa kumaintain hata kama ni 100*100 meters landscapes,wawasiliane na Jiji ili kuwe na standards na uniformity [emoji120][emoji120][emoji120].Mji wetu upendeze na kuongeza value yake katika bara la Africa na duniani pia.
source?NEW UPCOMING PEMBA INTERNATIONAL AIRPORT View attachment 1691247View attachment 1691249View attachment 1691253View attachment 1691256View attachment 1691257
Hahah acha kuchekesha watu tony 🤣🤣🤣 yani three bearth iwe na capacity ya 14tons hvi wewe unachukulia mambo kirahisi sana,Wewe ndio wazimu. Mjinga wewe. Wewe huwa hupingi na facts. Unapinga na emotions. Wazimu ni wewe
@Geza Ulole I was miss informed kumbe miradi ya umeme ukitoa JNHPP Ni zaidi ya megawatt 1000MW
kwani wewe unajua tanzania inazalisha umeme kiasi gani?@Geza Ulole I was miss informed kumbe miradi ya umeme ukitoa JNHPP Ni zaidi ya megawatt 1000MW
Huu mradi sikuujua... Basi by 2025 Tanzania itakuwa na 5000-6000 MW
Sent using Jamii Forums mobile app
Currently ni arround 1500MW...kwani wewe unajua tanzania inazalisha umeme kiasi gani?
ohk around 200 MW is to be added! From Kinyerezi I expansion and Rusumo Hydropwer
Leo mnaikataa sioEthiopia is horn of Africa si East Africa perse!
Hakuna kitu km electric sgr jomba wala biggest power plant[emoji1787][emoji1787]Unaujinga mwingi, Electric SGR mlianza nyie? BRT mlianza nyie? The biggest power plant mlianza nyie? 3 level interchange mlianza nyie?.
Watu hujenga sgr wala hawajengi treni[emoji1787][emoji1787]Kwahiyo hapa utapita mtungi au co [emoji3][emoji3]View attachment 1691187