Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Barabara zenu finyu na hazina sidewalk
Hapo ni construction site. Hakuna barabara hapo. Wewe unazungumza kuhusu barabara gani ilhali barabara ambayo ilikuwa hapo imebomolewa ili kuruhusu expressway kujengwa?
 
Dar es salaam From Above.


IMG_4938.jpg
 
ichoboy01 leta mdomo wako kubwa hapa. Eti ulikuwa unasema jengo gani halijengwi?

88 Nairobi (44 floors residential apartments).
925F82CC-D474-4F79-8A88-870DA3A5A939.jpeg
 
1. Website does not have SSL
2. website development by using free web template
3. The website is the WordPress
4. My kid can design website better than this.

Bado kijana nenda shule.
I thought you gonna send me the serious Web Application
🤣 😂🤣😂🤣😂Tena kachukua kitemplate akaedit kama ms word
 
Nionyeshe wa JNIA!
JKIA ni airport ya zamani pengine haina. Mimi JKIA nimetumia old terminals tu. Bado sijawahi kutumia ile terminal mpya. Kwa hivyo sijui kama hio mpya inayo au la. But hata kama haina so what?
 
Unajua jina Bagamoyo linatokana na kitendo gani?
Wee! tusipoteze muda na maswali ya kitoto. Native wa EA ni wachache sana na sio wabantu, mfano hapa TZ ni wahadzabe na wasandawe ila makabila mengi ya TZ yameoriginate West aka wabantu. Sasa nyie ni vizazi vya sudan na hon of africa ambao ni arab slaves waliotoroka
 
Back
Top Bottom