mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,573
kwani mkikubali mmepigwa namba mnatoboka!!!!Ni vizuri kuwa exposed to other cultures rather than kujifungia nyumbani kama ninyi. Watu milioni 60 nyote mnatazama nyimbo za Diamond kwa sababu hamjui kingereza, wimbo huo hauwezi kosa kuhit. Lazima wimbo huo uhit maana nyumbu zote zinatazama huo wimbo maana hamjui lugha nyingine.
saa hii umewacha habari ya kutumia internet kwa vitu vya maana umehamia kwenye kusikiliza nyimbo za culture nyingine duniani[emoji28][emoji28][emoji28]