mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,573
ndio mkubali muache ujinga kubishabisha kila kitu,Nyinyi mko 60 million, sisi tuko 48 million. Vipi tena ulikuwa unataka tuwashinde kwenye kutazama umbea na miziki za mitandao? Dunia nzima inawajua nyinyi ni watu mnapenda umbea. Sisi ni watu tupo sophisticated. Tunatazama akina Beyonce na Jay Z, akina Bebe cool, akina wizkid. Hatujajifungia tu kwenye wimbo zetu kama nyinyi. Mjifunze kingereza angalau muanze kufuatilia wimbo za watu wengine.
halafu wimbo unaoongoza duniani kwa views unaitwa decpacito,sio wa kiingereza.
so kama unadhani music kusikilizwa mpaka uwe wa kiingereza,utakuwa unatumia internet kujifunza mapishi sio kuelimika.