Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha mmeshindwaje kuwasapoti wa nyumbani kwenu?

Millardayo 100% swahili media inaongoza Africa kwa kuwa na zaidi ya 1 billion views kutokea Tanzania, Africa nzima Hakuna media yoyote iliofikia idadi hiyo ni Tanzania tu, ninyi endeleeni kupika data tu
We ain't talking about support to personalities but internet Penetration in a country in generall dont mix the two.😉 . Remember good content sells to audience.
 
Entering Turkana County, Devolution putting work.👏👏
IMG_20210122_115655.jpg
 
Hahahaha mmeshindwaje kuwasapoti wa nyumbani kwenu?

Millardayo 100% swahili media inaongoza Africa kwa kuwa na zaidi ya 1 billion views kutokea Tanzania, Africa nzima Hakuna media yoyote iliofikia idadi hiyo ni Tanzania tu, ninyi endeleeni kupika data tu
Wacha ushamba mzee, Inaonekana hujui maana ya neno "internet penetration". Kuna watu wengi sana wana internet na hawana muda wa kutazama mziki kwenye youtube. Watu wengi wanatumia internet huku kusoma au kufanya kazi. Halafu Wakenya generally wako more exposed to international music than Tanzanians. Wakenya kwa sababu tunaelewa kizungu huwa tunasikiliza muziki hata za Marekani. Huko kwenu nyumbu zote milioni 60 zinasikiliza bongo tu. Hio ndio sababu music video za Kenya zina less views than TZ. Halafu Wakenya ni 48 million na Malazy ni 60 million. So hata population yenu ni kubwa kwa hivyo lazima music videos zenu lazima ziwe na views nyingi kutushinda
 
Wacha ushamba mzee, Inaonekana hujui maana ya neno "internet penetration". Kuna watu wengi sana wana internet na hawana muda wa kutazama mziki kwenye youtube. Watu wengi wanatumia internet huku kusoma au kufanya kazi. Halafu Wakenya generally wako more exposed to international music than Tanzanians. Wakenya kwa sababu tunaelewa kizungu huwa tunasikiliza muziki hata za Marekani. Huko kwenu nyumbu zote milioni 60 zinasikiza bongo tu. Hio ndio sababu music video za Kenya zina less views than TZ. Halafu Wakenya ni 48 million na Malazy ni 60 million. So hata population yenu ni kubwa kwa hivyo lazima music videos zenu lazima ziwe na views nyingi kutushinda
taifa au watu wasiokuwa na utamaduni wao hakika hawana mbele wala nyuma hahahahahahahaha endelea kujisifia vya wazungu na lugha yao
 
Wacha ushamba mzee, Inaonekana hujui maana ya neno "internet penetration". Kuna watu wengi sana wana internet na hawana muda wa kutazama mziki kwenye youtube. Watu wengi wanatumia internet huku kusoma au kufanya kazi. Halafu Wakenya generally wako more exposed to international music than Tanzanians. Wakenya kwa sababu tunaelewa kizungu huwa tunasikiliza muziki hata za Marekani. Huko kwenu nyumbu zote milioni 60 zinasikiza bongo tu. Hio ndio sababu music video za Kenya zina less views than TZ. Halafu Wakenya ni 48 million na Malazy ni 60 million. So hata population yenu ni kubwa kwa hivyo lazima music videos zenu lazima ziwe na views nyingi kutushinda
Kila mnapo kamatika ni mwendo wa visingizio vya kijinga.

Hivyo vyote ulivyo orodhesha hapo hata sisi Watanzania huwa tunavifanya tena zaidi yenu na hatupigi kelele.

Kazi ni kupika data.
IMG_20210122_122720_112.JPG
 
hawa jamaa bana [emoji23][emoji23]
cha ajabu ukienda bar zao.. nyimbo nyingi zinazochezwa ni za Tanzania
 
taifa au watu wasiokuwa na utamaduni wao hakika hawana mbele wala nyuma hahahahahahahaha endelea kujisifia vya wazungu na lugha yao
Ni vizuri kuwa exposed to other cultures rather than kujifungia nyumbani kama ninyi. Watu milioni 60 nyote mnatazama nyimbo za Diamond kwa sababu hamjui kingereza, wimbo huo hauwezi kosa kuhit. Lazima wimbo huo uhit maana nyumbu zote zinatazama huo wimbo maana hamjui lugha nyingine.
 
Ni vizuri kuwa exposed to other cultures rather than kujifungia nyumbani kama ninyi. Watu milioni 60 nyote mnatazama nyimbo za Diamond kwa sababu hamjui kingereza, wimbo huo hauwezi kosa kuhit. Lazima wimbo huo uhit maana nyumbu zote zinatazama huo wimbo maana hamjui lugha nyingine.
Hahahaha ngoja nikufunze kitu.

Kwanini wimbo wa despacito una views zaidi ya bilioni moja youtube wakati lugha iliyotumika sio lugha inayozungumwa ulimwenguni kote?

Mfano mwingine ni wimbo wa Master Kg na Namcebo Jerusalema...lugha iliyotumika kwenye ule wimbo sio lugha inayotumika ulimwenguni kote bali ni pale SA tu lakini ni moja ya nyimbo inayofanya vizuri tena ikiwa na views zaidi ya milioni mia mbili.

Ukweli ni kuwa watu hawasikilizi lugha kwenye muziki bali husikiliza ile mirindimo ikiwemo, beats na manjonjo mbalimbali iliyotumika kwenye nyimbo husika.

Kwanini diamond anafanya shows kibao kwenye nchi ambazo hata hazizungumzi lugha ya kiswahili na nyomi zinajaa kama kawa.

Jifunzeni kuishi kwenye uhalisia na muwache kutetea weak points zenu kwa kutumia visingizio vilivyo kunywa changaa.
 
Hio udongo imeletwa kutoka mbali ili kuekeza foundation ya barabara. Mradi utakapokamilika hutaona mchanga hata chembe moja. Itakuwa lami mtelezo kuanzia mwanzo hadi mwisho
Kwahiyo kwa ss bado pachafu ndani ya CBD [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom