Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,434
Tatizo nn majirani?hats wiki haijaisha
Dereva wa hilo lorry ni Mtanzania na yeye ndiye alipoteza control ya gari. Swali linastahili kuwa "tatizo nini Watanzania mbona hamjui kuendesha gari?"
Tatizo nn majirani?hats wiki haijaisha
Asante kwa kutambua kwamba miundo mbinu yetu ndio babkubwa ukanda huu. Ni vizuri kuona Mtanzania akikubali kwamba Kenya ipo mbele kwenye miundombinuMiundombinu yao ndio babkubwa ukanda Huu, lakini haitatui matatizo yao ya kila siku Sasa hawa kama watu wajinga ni nn
tuwaache kidogo majirani wamalizie kupumua pumua pumzi za mwisho mwisho......Mkuu, hiyo ni kweli kabisa. Nimeona kwenye ilani ya CCM 2020-2025. Bro Magu kaamua kuanza kuijenga kwa pesa zetu wenyewe.
Na huyu je 👇👇👇👇Dereva wa hilo lorry ni Mtanzania na yeye ndiye alipoteza control ya gari. Swali linastahili kuwa "tatizo nini Watanzania mbona hamjui kuendesha gari?"
Hapo siyo CBD.🤣🤣🤣🤣🤣DAR hii pale CBD
Unazingua kishenzi dogo.Dereva wa hilo lorry ni Mtanzania na yeye ndiye alipoteza control ya gari. Swali linastahili kuwa "tatizo nini Watanzania mbona hamjui kuendesha gari?"
Kenya ukitoa Nairobi ni Uharo
Huyo anakucheka [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Asante kwa kutambua kwamba miundo mbinu yetu ndio babkubwa ukanda huu. Ni vizuri kuona Mtanzania akikubali kwamba Kenya ipo mbele kwenye miundombinu
Cc Geza Ulole ichoboy01
harafu unakuta ngurue pori hajui huo uwazi uliachwa kwa kazi gani[emoji38][emoji38][emoji38].
Na huyu je 👇👇👇👇
Nairobi pale CBD🙂
Eldoret hawana hospitali ya maana kama hii na kama ipo basi waileteKCMC Hospital Kilimanjaro [emoji1241][emoji1241][emoji541]
View attachment 1676809View attachment 1676811View attachment 1676812View attachment 1676813View attachment 1676814View attachment 1676815View attachment 1676816View attachment 1676817
Hii ndio battle inayokuja, so wajiandae [emoji3][emoji3]
[emoji23] [emoji23]Heheheheee Yanga ndiyo timu pekee duniani haijafungwa hata mechi ya kirafiki.
Mazoezini tu hawafungani dadadekiiii [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app