Haya kazi kazi sasa mpaka 2025 tuwe na 10000MW
contractor akiwa mchina... bas the deals talk btn Wang Yi na Magu was successful
Haya kazi kazi sasa mpaka 2025 tuwe na 10000MW
🤣🤣🤣🤣🤣Maize vs truck,, which is more expensive???hasara kwenuI Guess one had already payed for the maize....which means who gonna starve to death ....?!unless somebody makes his way back to TZ to buy more grains....and that would translate into even more money to Tanzanian pockets ... I hope your poor infrastructure also lets next the truck-filled with maize go under water at Likoni ..........your folks are such serial costumers for Tanzania farmers
huku chato kulipojengwa uwanja wa ndege nilikuwa nahofia ATCL watapataje wateja wa kutosha kwa kila safari continually... ila naona mkuu kawa smart.. anajitahid kuhakikisha anaweka vitu huko ambavyo pia kwa kupitia ndege vitafikika kwa haraka
1. kuna veta
2. national park
3. referral hospital
4. migodi
tutegemee vitu vingine zaid ambavyo kwa usafir wa ndege kutafikika haraka
japo watu hawapendi lkn ndo hivyo mkuu anataka kupaendeleza huko.. anyway wanaopelekewa hivyo vitu ni watanzania wenzetu pia [emoji2]
Mi nangoja resurrection ya project Bagamoyo port, nimedokezwa kuna behind the scene manouvres za kufa mtu! yaani ni tiktak kwenda mbele, likiibuka lazma jirani alie nyau!contractor akiwa mchina... bas the deals talk btn Wang Yi na Magu was successful
huku chato kulipojengwa uwanja wa ndege nilikuwa nahofia ATCL watapataje wateja wa kutosha kwa kila safari continually... ila naona mkuu kawa smart.. anajitahid kuhakikisha anaweka vitu huko ambavyo pia kwa kupitia ndege vitafikika kwa haraka
1. kuna veta
2. national park
3. referral hospital
4. migodi
tutegemee vitu vingine zaid ambavyo kwa usafir wa ndege kutafikika haraka
japo watu hawapendi lkn ndo hivyo mkuu anataka kupaendeleza huko.. anyway wanaopelekewa hivyo vitu ni watanzania wenzetu pia [emoji2]
Universities nasikia kama 2 ivihuku chato kulipojengwa uwanja wa ndege nilikuwa nahofia ATCL watapataje wateja wa kutosha kwa kila safari continually... ila naona mkuu kawa smart.. anajitahid kuhakikisha anaweka vitu huko ambavyo pia kwa kupitia ndege vitafikika kwa haraka
1. kuna veta
2. national park
3. referral hospital
4. migodi
tutegemee vitu vingine zaid ambavyo kwa usafir wa ndege kutafikika haraka
japo watu hawapendi lkn ndo hivyo mkuu anataka kupaendeleza huko.. anyway wanaopelekewa hivyo vitu ni watanzania wenzetu pia [emoji2]
Hii ni jana,pale likoni kuna nini sijuiSimple accidents na huku zinaua, hv unajisikia utumbo unaoongea.
Sijui kwanini Dodoma airport inakawizwa hivyoUwanja wa mpira na uwanja wa ndege wa msalato Dodoma...
Vyote vinaanza from scratch, Yaani siku mkiaanza kutuomba misaada msijiulize mlikwama wapi
Ni ”kulikoni bridge” 😂😂😂🤣🤣🤣🤣likoni bridge [emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maize vs truck,, which is more expensive???hasara kwenu
It's not just a screenshot bongolala, it's a world bank report about extreme poverty in Africa na hapo mko tatu bora. And remember, those are extreme poverty cases, bado kuna wale wa moderate poverty just in case you didn't knowTanzania kuna umasikini lakini hatujafikia huo umasikini wenu wa kutisha najua unajua ila huwezi kubali humu.
Masikini wa Tanzania ana uhakika wa kula mara mia zaidi ya masikini wa kenya failed state.
Hiyo screeshot ndio last kick yako [emoji23][emoji23][emoji23]
Kenya masikini wameisha?It's not just a screenshot bongolala, it's a world bank report about extreme poverty in Africa na hapo mko tatu bora. And remember, those are extreme poverty cases, bado kuna wale wa moderate poverty just in case you didn't know
This station is stunningView attachment 1676391
Wakenya mumeanza zen Tanzania tunamalizia...utandikaji wa mataruma ya SGR kwenye Viaduct ni mwendo wa mchaka mchaka
University zipi mbili? watu wa mkoa wa Mara lazma wam-mind alipoingia madarakani alisimamisha mradi wa Mwl Nyerere University of Agriculture, ambapo ardhi ilikuwa ishanunuliwa na mipango ilikuwa at very advanced stages!Universities nasikia kama 2 ivi
Kiwanda cha kuchakata nyama
Kiwanda cha kuchakata Samaki