Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Upepo kwa tanzania
Screenshot_20170629-165824.jpg

Screenshot_20170629-170123.png
Screenshot_20170629-170132.png
 
Twende kazi wewe dogo. Kwenye ICT wala usiseme nimekuewekea Infor za kumwaga. Ngoja nikupatie Trasport in Dar by Boats

boat-rentals-dar-es-salaam-dar-es-salaam-processed.jpg


boat-rentals-dar-es-salaam-dar-es-salaam-processed.jpg


ju5-tz-ferry.jpg


Dar huiwezi wewe umebaki kuhororoja tu.
hii ni utoto sasa...unataka tulete yatches nairobi zifanyiwe nini? hizo zipo mombasa
 
hii ni utoto sasa...unataka tulete yatches nairobi zifanyiwe nini? hizo zipo mombasa
Sasa unapoleta mbuga za wanyama ziliziko porini Nairobi kwani hapa tunaangalia fisi!? Nakugonga paumapo mpaka upate akili.
 
can you come up with a credible source to back up these claims coz afaic... most Kenyans don't know nothing about Tz or even keep tabs on them.
Nyinyi ni watu wa kupuuziliwa mbali as you languish in your ldc country. Am so sorry for this
 
can you come up with a credible source to back up these claims coz afaic... most Kenyans don't know nothing about Tz or even keep tabs on them.
Nyinyi ni watu wa kupuuziliwa mbali as you languish in your ldc country. Am so sorry for this
kinachowafanya mzuie gesi ya tanzsnia kuuzwa kwenu ni nini....?...naona nidhamu ya uwoga ishatanda......poleni sana
 
Tell us why you are an LDC. ......blah blah blah hatutaki kusikia.All those Nairobi slums cover 5% of the city.....thats why its hard to spot them in a Wide aeriel view......but those Dar houses or shacks cover like 90% of Dar....Most of Dar ni vichochoroni bila mpangilio.....its funny how you deliberately leave out the side of kibera that has numerous flats. Mnapenda kujidai hapa lakini mji wenu in totallity ni slum City or informal settlement infested city
Ooooh almost I forgot majirani nyie ni Developed country, thanks for the reminder!
Lakini jirani nyie si ndo mna biggest slum second to none East & Central Africa? Majirani nyie si ndo huwa mnalia njaa kila mwaka? Sasa ikiwa basic needs kama chakula tu ni shida kwenu, why do you feel more privileged kuliko jirani yako anayekulisha?
 
can you come up with a credible source to back up these claims coz afaic... most Kenyans don't know nothing about Tz or even keep tabs on them.
Nyinyi ni watu wa kupuuziliwa mbali as you languish in your ldc country. Am so sorry for this
See you soon njaa itakapofika mlangoni kwako na hayo maneno yako ya kejeli
 
Ooooh almost I forgot majirani nyie ni Developed country, thanks for the reminder!
Lakini jirani nyie si ndo mna biggest slum second to none East & Central Africa? Majirani nyie si ndo huwa mnalia njaa kila mwaka? Sasa ikiwa basic needs kama chakula tu ni shida kwenu, why do you feel more privileged kuliko jirani yako anayekulisha?
Tatizo kubwa la hawa hua bado wanamawazo ya tz of 90s wakati leo tuko 2017 na ndani ya miaka 10 maendeleo yaliofanyika tanzania hata wangepewa 30 yrs wasingefkia
 
Kitu kibaya cha Kenya walichojaaliwa ni kujikuta wao ni bora zaidi kuliko wengine
wanajihisi kuwepo katika Middle economy country ndo waanze kebehi na maneno machafu dhidi ya Tanzania ambayo licha ya kuwa ktk LDC lkn ipo ktk progress kutoka hapa ilipo kufika hapo Kenya alipo...

na sio kwmb Kenya wameipita Tanzania for everything, BiG NO .!! kuna vitu na vitu
wanasahau kuwa sisi ni Africans na tutabaki hivi hivi mpk KIAMA yaan hata tuendelee vp sisi(Africans) ni maskini kwa kila kitu...
 
Back
Top Bottom