Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tell us why you are an LDC. ......blah blah blah hatutaki kusikia.All those Nairobi slums cover 5% of the city.....thats why its hard to spot them in a Wide aeriel view......but those Dar houses or shacks cover like 90% of Dar....Most of Dar ni vichochoroni bila mpangilio.....its funny how you deliberately leave out the side of kibera that has numerous flats. Mnapenda kujidai hapa lakini mji wenu in totallity ni slum City or informal settlement infested city

El matador El matador El matador
Hivi mnajua kwnn Dar haina list ya slums kwny link yyt ile mtandaoni??
ni si hivo tuu wala hakuna organization wala mtu yyt ambaye ashawahi tamka Dar ina slums!!

sababu ni hii...
Ukienda in deep ktk hizo aerial view mnazoziona hamtakuta worst life km katika hizo slums za kwenu..
We have good and quality houses
We have an access to all social services in need
Kwa hiyo sasa

Kwa vigezo vyao ndo maana hawaja_consider km Dar ina slums kwa kuwa the only problem ni kuwa na informal settlements basii ...
yaan hiyo 92% kuna mtu humu ndani aliianzisha basi wakenya wote wakafuata mkumbo...

kila anaye_comment anakuambia Dar ni slum 92%... hivi 92% hilo ni jiji tena au??
basi hata kwny vigezo vya majiji duniani tungetolewa
 
hhahahah sijawahi ona in my life nairobi world city
235ac72ded3da219c252859168072dd9.jpg
kibera_nairobi.jpg
csm_IMG_2825_eb6063bdf9.jpg
2006%20Kiberaslummen.jpg
e047e484b3c8047069415645b1ee4eb8.jpg
kibera-slum-nairobi-kenya-bx51h4.jpg
children-play-among-the-rubbish-in-kibera-nairobi-kenya-on-november-picture-id459558934
images
images
images
images
The home of Infamous East African Tycoons
 
El matador El matador El matador
Hivi mnajua kwnn Dar haina list ya slums kwny link yyt ile mtandaoni??
ni si hivo tuu wala hakuna organization wala mtu yyt ambaye ashawahi tamka Dar ina slums!!

sababu ni hii...
Ukienda in deep ktk hizo aerial view mnazoziona hamtakuta worst life km katika hizo slums za kwenu..
We have good and quality houses
We have an access to all social services in need
Kwa hiyo sasa

Kwa vigezo vyao ndo maana hawaja_consider km Dar ina slums kwa kuwa the only problem ni kuwa na informal settlements basii ...
yaan hiyo 92% kuna mtu humu ndani aliianzisha basi wakenya wote wakafuata mkumbo...

kila anaye_comment anakuambia Dar ni slum 92%... hivi 92% hilo ni jiji tena au??
basi hata kwny vigezo vya majiji duniani tungetolewa
Kaja juzi tu huyo hajui alitendalo msamehe
😀😀😀😀😀😀😀😀
 
sio kejeli bro. najua ukweli unauma. kukosa ugali sio njaa.... naweza kula wali au viazi/nyama na siku zinasonga
Sasa huo wali na Viazi ndugu yako wa Kibera anaweza ku-afford? Hata majani wanayokula ng'ombe yangekuwa yanafaa kuliwa watu wangekula tu, hamna anayependa kupiga kelele za njaa
 
El matador El matador El matador
Hivi mnajua kwnn Dar haina list ya slums kwny link yyt ile mtandaoni??
ni si hivo tuu wala hakuna organization wala mtu yyt ambaye ashawahi tamka Dar ina slums!!

sababu ni hii...
Ukienda in deep ktk hizo aerial view mnazoziona hamtakuta worst life km katika hizo slums za kwenu..
We have good and quality houses
We have an access to all social services in need
Kwa hiyo sasa

Kwa vigezo vyao ndo maana hawaja_consider km Dar ina slums kwa kuwa the only problem ni kuwa na informal settlements basii ...
yaan hiyo 92% kuna mtu humu ndani aliianzisha basi wakenya wote wakafuata mkumbo...

kila anaye_comment anakuambia Dar ni slum 92%... hivi 92% hilo ni jiji tena au??
basi hata kwny vigezo vya majiji duniani tungetolewa
uyo jamaa wa kikenya ni chizi
...mi namchekaga tu.....huwa anashindaga dampo ......muhurumie
 
can you come up with a credible source to back up these claims coz afaic... most Kenyans don't know nothing about Tz or even keep tabs on them.
Nyinyi ni watu wa kupuuziliwa mbali as you languish in your ldc country. Am so sorry for this
mbona povu?...shida yako nini?...huamini kwamba kenyatta kahaidi ku-apply magufuli style of administration pale mtakapo mchagua tena?....au huamini kama mkenya anaweza kuiga jambo zuri kwa mtz?.
your stupid sense of egotism will kill you kenyans.
 
Tanzania na Somalia ni sawa hahaha. ......amani mingi lakini umaskini umekithiri in the whole country.
Hujielewi wewe wala huelewi unachokiongea .Diference in life's standard or quality between very few Rich Kenyans ,most of them Politicians who have terrorised and squandered Kenyan's economy and ordinary citizens in Kenya is extremely greater as compared in Tanzania .Most of Political Establishment families like Moi's ,Kenyata are Multimillions worth and these illicitly obtained fortunes has been confined to very few people less than 1 percent leaving the rest 99 percent suffering miserably in extreme level of poverty ever before and you dormant minded dummy you are still happy for that paper documented Nation's Economic level which does not bring reality to ordinary people life in Kenya
 
about time people are waking up, waliona watanzania hawanunui....wacha sasa mfunzwe
Nani atufunze....kinachofunza duniani ni njaa pekeake.......najua hapo ushavimba😀😀😀

Hata ule msemo unaosema asiefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu we ulijua ulimwengu ndio unamchapa bakora sio hvo ni NJAA NDIO INAMFUNZA
Kama inavowanyoosha wakenya
 
[quote uid=396713 name="Edward Wanjala" post=21409417][/QUOTE]official azam tv app is now available in app store.
this is how it looks.
470f49126ce9b95dbbdc79829466ce68.jpg
672a171b6e2441f5bc60532104ec7280.jpg
tell your kenyan friends to download it.
NB:was uploaded yesterday,it will be launched officially in July 1st 2017.
 
[quote uid=396713 name="Edward Wanjala" post=21409417]
official azam tv app is now available in app store.
this is how it looks.
470f49126ce9b95dbbdc79829466ce68.jpg
672a171b6e2441f5bc60532104ec7280.jpg
tell your kenyan friends to download it.
NB:was uploaded yesterday,it will be launched officially in July 1st 2017.[/QUOTE]

ndio mnafikiwa na izo...

9859741e8c2d9744c91909aa3e4e6c25.jpg
ntv.jpg
ktn.jpg
k24.jpg
kbc.jpg
 
Back
Top Bottom