Failed system😂😂🤣🤣.
Nairobi commuter Railway Vs BRT😂👇👇
View attachment 1669418View attachment 1669419
Failed system😂😂🤣🤣.
Nairobi commuter Railway Vs BRT😂👇👇
View attachment 1669418View attachment 1669419
Mbona haijawekwa South Africa?🤣🤣🤣 Wengine wakichapa international routes za 50 nyinyi mnacheka na tano😂😂😂Hizi ni ngapi?
Guangzhou
Lusaka
Harare
Mumbai
Entebbe
Comoros
Bujumbura
Kila unapogusa unapigwa spana.
Endelea kubadilisha magoli ili ukweli ni kuwa kila utakapo gusa utakula spana tu.Mbona haijawekwa South Africa?Wengine wakichapa international routes za 50 nyinyi mnacheka na tano
![]()
Sasa swali juu ya South African route ndio imekufanya unune hivi?🤣🤣🤣Endelea kubadilisha magoli ili ukweli ni kuwa kila utakapo gusa utakula spana tu.
Sasa mbona unadanganya watu? Ebu tuonyeshe picha ya Any Time Cancellation Limited (ATCL) ikiwa Guangzhou🤣😂😂Endelea kubadilisha magoli ili ukweli ni kuwa kila utakapo gusa utakula spana tu.
Hapa zipo ngapi?Hii ndio hile hainanga wateja? Siku international routes zitafika tano tafadhali usisahau kunitag![]()
Nidanganye kwa faida ya nani!Hizi ni ngapi?
Guangzhou
Lusaka
Harare
Mumbai
Entebbe
Comoros
Bujumbura
Kila unapogusa unapigwa spana.
ATCL tayari ina kibali cha kuruka Guangzhou China ila restrictions za corona ndio bado hazijakaa sawa.Sasa mbona unadanganya watu? Ebu tuonyeshe picha ya Any Time Cancellation Limited (ATCL) ikiwa Guangzhou![]()
Thanks for accepting that level ya Dar is slum ni Mogadishu👏👏👏😂Ni kweli tunaweza tukalinganisha na Mogadishu kwa sababu zote ni coastal town 🙂 kingine Mogadishu ni kusafi na pia iko well planned kama dar hakuna uchafu kama Nairobi🙂ebu cheki mogadishu 👇👇alafu linganisha na Nairobi jibu utaipata
Ebu tuonyeshe hicho kibali🤣🤣🤣. Unahesabu route enye hata Magufuli mwenyewe hajui iko wapi😂😂😂. Siku hizo mitumba zenu zitakanyaga China ndio ueke Guangzhou kwa list, as of now safari zenu ni za daladala😂😂😂Hapa ulisema utagiwe zikifika ngapi? Hapa zipo ngapi? Nidanganye kwa faida ya nani!
Sijawa mkenya maana mnasifika kwa kudanganya ovyo ili mpate sifa msizo stahili. ATCL tayari ina kibali cha kuruka Guangzhou China ila restrictions za corona ndio bado hazijakaa sawa.
Certified nincompoop hii ni nini?Ebu tuonyeshe hicho kibali. Unahesabu route enye hata Magufuli mwenyewe hajui iko wapi
. Siku hizo mitumba zenu zitakanyaga China ndio ueke Guangzhou kwa list, as of now safari zenu ni za daladala
![]()
Alafu anatoa excuse ya covid restrictions, restrictions kitu gani na hamkuwa lockdown na China pia hawajakuwa lockdown tangu February. Ama hiyo ndege yenu ilikuwa ya kubeba waingereza wenye bado wako lockdown?
![]()
Hii ndio kibali?😂😂🤣🤣🤣 Ebu tuonyeshe picha ya ndege ikishafika Guangzhou.😂😂🤣Certified nincompoop hii ni nini? View attachment 1669434
Baada ya kuoneshwa international routes za ATCL umeanza kuweweseka ovyo na bado huo ni mwanzo tu safari hii huo wivu utakutesa zaidi.Hii ndio hile hainanga wateja? Siku international routes zitafika tano tafadhali usisahau kunitag![]()
Hii ndio kibali?Ebu tuonyeshe picha ya ndege ikishafika Guangzhou. Leo booking site imekuwa kibali
![]()
Hahmna international flights za kuenda Guangzhou na ndio maana hata ukisearch flights unaambiwa hakuna ndege😂😂🤣🤣👇👇👇Si uliuliza kuhusu international routes? Baada ya kuoneshwa international routes za ATCL umeanza kuweweseka ovyo na bado huo ni mwanzo tu safari hii huo wivu utakutesa zaidi.
Wengi wanaoenda kusoma Kenya au Uganda, walikuwa wameshindwa kumudu elimu ya Bongo.Nikupe sababu?; wengi wanakuja huku ama Uganda with their weak mental structure, kazi ni kukunywa na kutongoza wanawake (clubing daily na uzembe wa kiaina), they hardly attend lectures! Nilisoma na wengi kaka nawafahamu, mzazi anatuma karo na pesa ya matumizi na ma fala wanaharibu eti wanakula raha, in our class tuliwacha wengi sana chuo kikuu when we finished kwasababu hawa ku graduate, wana miss classes sana, na kwa darasa they cannot compete, pengine wenye walianza shule ya msingi ama upili Kenya ama Uganda. Nilihurumia wazazi wa hawa stupid Tanzanians. Mzazi anajinyima anapeleka mtoto shule, na ngómbe inakula karo, matokeo ni total failures!!
Naweza nikakuhakikishia kwmb hujarudia hata shule moja tangu asubuhi, mfano hii Tambaza high school sikuifikiria kabisa licha ya ukweli kwamba ilikuwa shule jirani yangu (Azania)