Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nikupe sababu?; wengi wanakuja huku ama Uganda with their weak mental structure, kazi ni kukunywa na kutongoza wanawake (clubing daily na uzembe wa kiaina), they hardly attend lectures! Nilisoma na wengi kaka nawafahamu, mzazi anatuma karo na pesa ya matumizi na ma fala wanaharibu eti wanakula raha, in our class tuliwacha wengi sana chuo kikuu when we finished kwasababu hawa ku graduate, wana miss classes sana, na kwa darasa they cannot compete, pengine wenye walianza shule ya msingi ama upili Kenya ama Uganda. Nilihurumia wazazi wa hawa stupid Tanzanians. Mzazi anajinyima anapeleka mtoto shule, na ngómbe inakula karo, matokeo ni total failures!!
ndiyo maana nikakuambia kuwa asilimia kubwa waliokuwa wanakuja kusoma kenya ni failures ...huku walivurunda hivyo wanatafuta njia ya ziada sehemu yenye unafuu....
 
Hiyo "smartness" ya hao viongozi imeiweka wapi TZ? sijaskia watz wengi waki shinda academic award anywhere!!, achievements???, inovations??., and by the way uongozi sio tu masomo, ni hekima flani pia, even though education ni muhimu karne hii.
chukua list ya marais wako wote tokea mpate uhuru kisha compare na maraisi wa Tz tokea ipate uhuru kwa education wapi waliopiga kitabu...

ukishapata jibu unaweza ukabaki nalo kuumia moyoni au ukaja nalo hapa...

your welcome
 
Urahisi gani wakati Kenya's education system was announced as the strongest in Africa by World Economic Forums?



World Bank pia walitoa ripoti in 2018 ranking Kenya top in Africa in education outcomes
cheap education...easy
 
Lugalo High School Iringa

EeplqzFXsAAirWX.png
iringa-girls-20070620-4.jpg
20080430-videocon-0041.jpg
lugalo.jpg
 
bila kusahau asilimia kubwa waliokuwa wanaenda kenya au uganda huwa ni failier.....hivyo hutafuta njia ya ziada yenye urahisi wa elimu
Mtanzania aliyesomea kenya ni bonge la mtu sana akirudi bongo...
Hta walimu pia mnaandika waliosomea kenya
 
Back
Top Bottom