mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,446
- 4,951
hahaa kashashindwa tyari
hahaa kashashindwa tyari
Vp mpo tayari twende kwa private schools?hahaa kashashindwa tyari












Hahahaha Em ngoja nicheke kidogoHahahaaaa nyie mnajua rangi? Kuna shule mmepaka rangi? Tuanzie hapo kwanza![]()
Hahahaha ndio nipo chimbo, hiyo ni trela ngoja mziki unaanza muda si muda
wapi Umeona private school???public primary schools za kenya zinalemea secondary school zenu ndo private mtaeza?Vp mpo tayari twende kwa private schools?![]()
Shule za makanisa hizo na hazizidi 6, hapa nina shule zaidi ya 100 za serikali, konki zaidiwapi Umeona private school???public primary schools za kenya zinalemea secondary school zenu ndo private mtaeza?
So St. Ni public owned au siowapi Umeona private school???public primary schools za kenya zinalemea secondary school zenu ndo private mtaeza?






Hahahaaaa, tumalizane mapema kabisaWaBongo kesho ni mwendo wa masoko naomba tusiangushane anda detail zote mzijuazo tukawapigie sokoni nani ana masoko mazuri Kunyyaa vs Tanzania





Bukoba tu bila kwenda mkoa mwingine inaipiga kunia yoteSo St. Ni public owned au sio![]()




wakenya wanavisa sana tena vya ndumila kuwiliMapema sana hawa jamaAHahahaaaa, tumalizane mapema kabisa![]()
Safi sana! Dar express hiyo?
Ndio mwenyew huyoooSafi sana! Dar express hiyo?
Kaka subili mda bado, kwanza tuwapige mashuleniDah hili soko nishedaah badaee naleta picha za ndanii. View attachment 1668369