komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
@Teargass jamaa anapindisha mada huku



Jana kasema hatu assemble leo amekuja kivingingine..
@Teargass jamaa anapindisha mada huku



Body by ndio ya scannia third party assemble ya tanzania..Third party zinafanyika tanzania ndioa maana buscar akaja huku kuchkua scania bus kutoka dar coach
View attachment 1667491View attachment 1667492
Weruweru sekondariMe nataka siku wajichanganye walete battle ya kuanzia Universities, Colleges, Vocational Colleges, Training Centers, Secondary to Elementary Schools waone tutakavyowachangamkia
Ilboru sekondariMe nataka siku wajichanganye walete battle ya kuanzia Universities, Colleges, Vocational Colleges, Training Centers, Secondary to Elementary Schools waone tutakavyowachangamkia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila jamaa ubishi huwa unamtesa kwelikweli yn yupo radhi apoteze muda wake ili mradi aonekane anajua kitu hata km hajui daahh aisee Mungu kweli fundi, mm siwezi usenge huo![]()
Msaidie mwenzako manake leo katapika mbaya🤣🤣🤣🤣🤣🤣@Teargass jamaa anapindisha mada huku
Jana kasema hatu assemble leo amekuja kivingingine..
Hebu tuelimishe maana ya third party 🤣🤣🤣🤣🤣Body by ndio ya scannia third party assemble ya tanzania..
Wanafanyia katika kampuni gani manake kenya ni AVA..
Emu waulize tunakusubiria
Muongeze na hii🤣🤣👇👇
😅😅😅😅😅😅😅Leo kakamatwa mbavu, anaomba battle iishe lakini ndio kwaaanza tunajiandaa
Uongo republic. Rais muongo msemaji pia muongo
Kwa leo wacheni wapumzike manake wamechoka sana kwa kutapika 🤣🤣🤣
Iringa kama Iringa. Mwongezee na hii
🤣🤣🤣 Tunawachapa mpaka saa ya kulalaKwa leo wacheni wapumzike manake wamechoka sana kwa kutapika 🤣🤣🤣
Weka hapa Scania moja ikionekana inafanyiwa assemble hapo Kunyaland mnaogopa nn ss, mbn huwa mnakuwa sharp kuleta mambo mengine hii mnaogopa nn, tangu jana mnatoa ngonjera lkn link na picha ya hyo plant hamuweki.Body by ndio ya scannia third party assemble ya tanzania..
Wanafanyia katika kampuni gani manake kenya ni AVA..
Emu waulize tunakusubiria