Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,985
- 27,993
Trucks zenu are being assembled in MombasaNyooo nyie mnabadilisha oil na kupaka rangi mkijongeza labda kusafisha alafu mnatuongopea humu mdani![]()




View attachment 1667796
Trucks zenu are being assembled in MombasaNyooo nyie mnabadilisha oil na kupaka rangi mkijongeza labda kusafisha alafu mnatuongopea humu mdani![]()




View attachment 1667796
🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 na hiii ilikuaje
Hii ni garage typically ona mechanics walivyochakaa utafikiri wanatengeneza kombamavi
Sasa ngoja wajinga wenzako ubishane naoHakuna cha kurudi shule ww unaejua sema hapa tujue kweli unajuausione aibu tu


. Did you even attend any school?






Hii ni garage typically ona mechanics walivyochakaa utafikiri wanatengeneza kombamavi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 leo kila sehemu kakutana na nondoHii ni garage typically ona mechanics walivyochakaa utafikiri wanatengeneza kombamavi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hata ww pia hujui maana ya third party au unaogopaSasa ngoja wajinga wenzako ubishane nao. Did you even attend any school?
![]()
Plant haijaonekana bado siku ya pili leo serious 🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇
Luxury bus Dar arusha ni 33000/- unapewa maji na soda bure
🤣🤣🤣🤣 yani kenya iwe na plant alaf dunia ya leo 21st century isijue 🤣🤣🤣Anafananisha na huko jalalani
Sasa unataka kujifunza maana ya third party kwangu?hata ww pia hujui maana ya third party au unaogopa



Before nikuambie ebu tuambie maana ya assembling

Ngoja tumpe mda kidogo kaenda kutafuta maana ya third party atarudi muda sio mrefu 🤣🤣Anafananisha na huko jalalani
Jibu basi maana ya third party mm naamini ww nimjuaji wa kila kitu sasa tufundishe leo nataka nicheke vzr 🤣🤣🤣🤣Sasa unataka kujifunza maana ya third party kwangu?Before nikuambie ebu tuambie maana ya assembling
![]()
Ss mbona assemblers wamechoka hivi






Huu ukapurwa unadhalilisha mechanics subsector
Leo kakamatwa mbavu, anaomba battle iishe lakini ndio kwaaanza tunajiandaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 leo kila sehemu kakutana na nondo
Asante for accepting that those are Assemblers?Ss mbona assemblers wamechoka hivi![]()





😂😂😂😂😂 Atulie tumkeketeNgoja tumpe mda kidogo kaenda kutafuta maana ya third party atarudi muda sio mrefu 🤣🤣
According to you those are assemblers ndo nikakuuliza hao assemblers wa Scania mbn wamechakaa hivyoAsante for accepting that those are Assemblers?![]()




