The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Hii inakaa white house ya Kenya.Arusha School (primary / government)
View attachment 1667897View attachment 1667898View attachment 1667899View attachment 1667900
Hii inakaa white house ya Kenya.Arusha School (primary / government)
View attachment 1667897View attachment 1667898View attachment 1667899View attachment 1667900
Kwimwikwi jana baada ya kutoka China uliwavua nguo balaa kwenye vile vijiji vyao wanavyoviita counties za pembezoni, zimechoka balaa, sa waone Tanzania hatupo kama wao 😊Iringa kama Iringa. Mwongezee na hii
View attachment 1667965View attachment 1667966View attachment 1667967
Arusha School (primary / government)
View attachment 1667897View attachment 1667898View attachment 1667899View attachment 1667900
Ilboru sekondari
Government ownedView attachment 1667890
Weruweru sekondari
Government ownedView attachment 1667889
Hapa ni 50-0Shule ya sekondari kibaha
Government owned View attachment 1667844View attachment 1667845View attachment 1667846View attachment 1667848View attachment 1667849View attachment 1667850
















Kwa kuanzia tuna shule 100 za serikali ambazo ziko tayari kwa shughuliHapa ni 50-0![]()



Plant kama hii wanatafuta na torch siku mbili 🤣🤣🤣👇👇 hvi hawa wawe na plant unafkiri dunia ingepumzikaWeka hapa Scania moja ikionekana inafanyiwa assemble hapo Kunyaland mnaogopa nn ss, mbn huwa mnakuwa sharp kuleta mambo mengine hii mnaogopa nn, tangu jana mnatoa ngonjera lkn link na picha ya hyo plant hamuweki.
haha amewanyoosha vilivyo leoBuda ndo maana hawakupendi, unawaanika vibaya.
Usiturudishe nyuma, wenyewe wameshamjibu teagass vizuri km scannia kenya zikua assembled AVA in mombasa..Weka hapa Scania moja ikionekana inafanyiwa assemble hapo Kunyaland mnaogopa nn ss, mbn huwa mnakuwa sharp kuleta mambo mengine hii mnaogopa nn, tangu jana mnatoa ngonjera lkn link na picha ya hyo plant hamuweki.


Noma na nusu
Umesahau assemble hapo...Hebu tuelimishe maana ya third party![]()


We si jana ulikataa km kenya hatu assemble mabasi ya scannia...sasa leo unalia niniMsaidie mwenzako manake leo katapika mbaya![]()


Hiii imekaa vizuri mkuu well organized and planned 👏👏
wee mchicha mwiba kweli



Weeiii hii Tz ya ss ni balaa aisee tazama road quality na wala sio Dar hiyo mazee


Umeona our motherland is very beautiful 🙂Weeiii hii Tz ya ss ni balaa aisee tazama road quality na wala sio Dar hiyo mazee![]()
Yako wapi hayo mabasi ss, na km mna assemble mbn mnakuja kununua used from TzWe si jana ulikataa km kenya hatu assemble mabasi ya scannia...sasa leo unalia nini![]()











