saadeque
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 2,170
- 1,356
hesabiaga ndio kiswahili cha wapi????asa kwani wanahesaviaga na meno...?.....we wawapi mbona pumba hivyo
hesabiaga ndio kiswahili cha wapi????asa kwani wanahesaviaga na meno...?.....we wawapi mbona pumba hivyo
This is BRT in Dar es salaam. Nyie mnajichetua tu. Kwikwikwikwi. I will prove you wron about Dar es salaamhehehee...looks like a huge panya route.alafu hii ndio wanatuletea nyefnyef nayo apa imagine..unafanya kuichungulia katikati ya izo vibanda
asa kwani wanahesabu kwa meno...?.....we wawapi mbona pumba hivyo
chungu kimevunja kijiko.....kijiko kimevunjwa na chungu.......kiswahili kipana mnyambuliko wa maneno ni mkubwa kuliko hicho kichumba mnachoishi na familia yakohesabiaga ndio kiswahili cha wapi????
Nawagonga tu yaani mtajikuta mnatoa mapovu ovyo ovyo leo. This is Dar es salaam dogo. Tulia tukunyweshe dawa.hahaha mara CBD mara residential.....hahaha. these Tanzanians are a special case
This is BRT in Dar es salaam. Nyie mnajichetua tu. Kwikwikwikwi. I will prove you wron about Dar es salaam
View attachment 532229 View attachment 532230 View attachment 532231 View attachment 532232 View attachment 532233 View attachment 532234 View attachment 532235
kwa taarifa yako hiyo lugha ya english unayoitegemea bro naweza nikasimama na wewe nikatoa speech na nikawa bora zaidi yako.....bora uniambie french language ......sipendi kukiongea sababu nimekuwa nacho.....najua you dont under stand a figurative language. ...naelewa masomo ya bongo ni ovyo

Brt inapiga kata funua ndani ya eastlando ya Dår is slumhii ni barabara ya brt? I can't imagine surrounded by slums
ulikinyambua wewe ndio ukapata neno hesabiaga au?usijitie mjuaji hamna kiswahili kama hicho,pengine utuambie ni sheng yenuchungu kimevunja kijiko.....kijiko kimevunjwa na chungu.......kiswahili kipana mnyambuliko wa maneno ni mkubwa kuliko hicho kichumba mnachoishi na familia yako
ushamba bwana
Anyway dar inajaribu sana,ipangiwe mchuano na mombasa lakini si nairobiThis is BRT in Dar es salaam. Nyie mnajichetua tu. Kwikwikwikwi. I will prove you wron about Dar es salaam
View attachment 532229 View attachment 532230 View attachment 532231 View attachment 532232 View attachment 532233 View attachment 532234 View attachment 532235
eti jiji kuu hafu lina mbuga siushamba huu umewahi ona wapi mjini anafugwa tembo serikali ya kenya na raia wake ni maandazi sana....aiseeNawagonga tu yaani mtajikuta mnatoa mapovu ovyo ovyo leo. This is Dar es salaam dogo. Tulia tukunyweshe dawa.
Nairobi hakuna kitu chochote. Watu wenye akili wanajua kabisa City iliyopo karibu na bahari lazima itaizidi iliyo maporini kama hiyo Nairobi wanakoishi wanyama.
This is Dar es salaam City
View attachment 532237 View attachment 532238 View attachment 532239 View attachment 532240 View attachment 532241 View attachment 532242 View attachment 532243
njoo ujionee.....ukiikuta hvyo ....nakuajili.....fasta na cheo juu nitakupakwahiyo hii sio bongo...hehehe![]()
infact hiyo mikocheni na hao kina kigamboni wanayoisfia inafaa ifananishwe na kina sultan palace kule shanzu..eka nyali na ganjoni kando kabisaAnyway dar inajaribu sana,ipangiwe mchuano na mombasa lakini si nairobi
sikuajili bana nikuajiri..nyie vipi.Alafu huezi niajiri kabisanjoo ujionee.....ukiikuta hvyo ....nakuajili.....fasta na cheo juu nitakupa