saadeque
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 2,170
- 1,356
ntakua siitendei haki..acha dar ipambane na kina kiambu county kwa sasaSasa onesha chupi ya Nairobi sasa tuione.
ntakua siitendei haki..acha dar ipambane na kina kiambu county kwa sasaSasa onesha chupi ya Nairobi sasa tuione.
Sasa hiyo picha unaiwekea animation ya duara ili iweje sasa?Some random shots of the suburbs
![]()
An aeriel view of garden City mall
![]()
hautendei haki kivipi?ntakua siitendei haki..acha dar ipambane na kina kiambu county kwa sasa
tulishawaruhusu mleta picha za county zote za kenya mpambanishe na dar.ntakua siitendei haki..acha dar ipambane na kina kiambu county kwa sasa

mbona wamepoa ivo bana..imeshindwa hata na sherehe za maulid pale msa...sijaona yale mapico na mahina,mabuibui ivi,mishikaki kiasi..acheni kutuangushaKuwa Gay ni raha. Kwikwikwikwikwi. Au na wewe ni mmoja wao hao mashoga.
Dar Sikukuu ya Eid
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hakuna kitu chochote wewe. Zaidi ya kupiga makelele meengi kumbe ni watupu kabisa. Kila jambo mnalotaka kufanya tunawagonga. Nairobi ni mbuga ya wanyama mnalazimisha tu kuita City.ntakua siitendei haki..acha dar ipambane na kina kiambu county kwa sasa
hahaa ....sasa unataka nni ndio uridhike.kiambu county yakutoshaHakuna kitu chochote wewe. Zaidi ya kupiga makelele meengi kumbe ni watupu kabisa. Kila jambo mnalotaka kufanya tunawagonga. Nairobi ni mbuga ya wanyama mnalazimisha tu kuita City.
huo ni mnyambuliko.................takatifu kama haujauelewa basi rudi hatua nyuma twende kwa ufasaha
powa pumzika......salama MZEE WA NGELIKesho wasee.Msinisengenye
Utajua nini wewe ni mshamba wa Kibera. Huko Nairobi hakuna sehemu ya kupiga raha kama hapa Dar. Wewe unataka wachemke kwani wamekuwa maji!!?mbona wamepoa ivo bana..imeshindwa hata na sherehe za maulid pale msa...sijaona yale mapico na mahina,mabuibui ivi,mishikaki kiasi..acheni kutuangusha
dah we umepinda kwelimbona wamepoa ivo bana..imeshindwa hata na sherehe za maulid pale msa...sijaona yale mapico na mahina,mabuibui ivi,mishikaki kiasi..acheni kutuangusha

unajua tukichanganya mtahama humu ndani...wacha tuwaonee hurumatulishawaruhusu mleta picha za county zote za kenya mpambanishe na dar.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Think twice before taking,dar 92% slumsHakuna kitu chochote wewe. Zaidi ya kupiga makelele meengi kumbe ni watupu kabisa. Kila jambo mnalotaka kufanya tunawagonga. Nairobi ni mbuga ya wanyama mnalazimisha tu kuita City.
hahahaaa..acha povu kijana....sio wa nyeri mmi.mambo ya idd mubarak nayajua cz nimzawa wa pwani.hao watu wenu wamepoa sana aisee.kama wanaomboleza vile..heheeUtajua nini wewe ni mshamba wa Kibera. Huko Nairobi hakuna sehemu ya kupiga raha kama hapa Dar. Wewe unataka wachemke kwani wamekuwa maji!!?
Ushamba wako peleka huko Nyeri.
hahaa..sasa security ni hayo mapikipiki ya haojin na flyboy auHuna uwezo huo dogo.
Check mapokezi ya Rayvan toka BET kuchukua tuzo yake. Nairobi Security ni zero watu hawawezi fanya chochote
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Unakataa kwenu huko Nyeri Kibera. Kwikwikwikwi. Vijana wa Nairobi makelele meengi kumbe zero tu. Kila kitu tunawagonga. Ulizi kwenu ni zero hakuna cha maana zaidi ya matope kibao Nairobi. Magonjwa ya wanyama yatawamaliza.hahahaaa..acha povu kijana....sio wa nyeri mmi.mambo ya idd mubarak nayajua cz nimzawa wa pwani.hao watu wenu wamepoa sana aisee.kama wanaomboleza vile..hehee