Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya sasa hii hapa diyo Dar
30970485061_251dc643b6_k.jpg
30970485061_8847d0a5e6_z.jpg
30970488111_9c0463f19f_k.jpg
31084689695_f9bb5bc2e5_z.jpg
31084696235_6c008513db_z.jpg
31794738901_60b0e8f58b_k.jpg
 
naona mnajiribu kukwepa kivuli chenu cha ukora.


90% ya Dar is slum ni vitu vya ajabu ajabu....nashuku hapa kuna watu wanaishi kwa hizo nyumba zinakaa slum slum hivi.Hao story ya real estate ama gated communities ni ndoto kwao
 
Lol......leteni upanga na Kariakoo tutakubali
ujue najiuliza huyu dada yako wa kikenya tokea aje hapa dar ameniganda hatari kila nikimwambia kuhusu kurudi nairobi ananikwepakwepa sijajua tatizo nini.......

dar na malov dav yamemchanganya kabisa
 
Lol. .mnaishi kwenye cable bridge......hahaha. Kweli kuwa a least developed country ni shida.Mwana Dar is slum
Wewe kama unataka kutuonesha vibanda vyenu vya huko Nairobi usikimbie tu hapa maana picha utazichoka.

27746946464_ed795780cb_k.jpg
30393765290_141f9093ba_k.jpg
30699171070_b76f03ef87_k.jpg
30942301052_bbdede465a_k.jpg
26501769136_6203d4971e_k.jpg
 
Dar siyo uanga na kariakoo pekee dogo.
1. Upanga
2. Kariakoo
3. OysterBay
4. Masaki
5. Mikocheni
6. Kijitonyama
7. Kigamboni
8. Mwenge
9. Ubungo
10. Mbezi

Na maeneo mengi sana.
Nairobi inaingia mara 3 kwenye Dar.
Halafu Nairobi zaidi ya 60% ni Slum.
Hatutaki ujinga hapa. Kwikwikwikwi
IMG-20160417-WA0008_zpsoebavxsu.jpg


52_KigamboniBridge_04-640x480.jpg


images
safi kwani soon vikishakamilika tutazidi kuwa na vingi zaidi vya kujivunia kwenye city maana wao kikubwa ni vile viintercgarg na viflyover uchwala.....
 
Hapo Dar inakaa ni upanga Kariakoo na CBD ndio mtu anaweza ishi. ...sehem nyingine ni uswahili uswahili vidanguro hivi.
In Nairobi. ....you have a whole kiambu county which covers 2500 km sq to choose a decent apartment
You have the larger machakos county entailing Athi river Syokimau Mlolongo to a decent apartment or even purchase land and build.....machakos covers 8000 square kilometers

Then you have Kajiado which entails kitengela Ngong Kiserian Ongata rongai with affordable houses and land.Most of Nairobi's middle class Can afford cheap land in Kajiado

Infact most Nairobians like 60% dont stay with in the city boundaries.

Info 101
 
2063972bc2f1c0e3dbc312b19673805b.jpg
db04f434277691b42e55de5c2678a3f2.jpg

eiish...hii ni dar ya 2017????nisaidieni pliz
Tulia nikubandike kisha nikubandue.

This is Dar es salaam. Hizo picha zenu sijui mmezitoa wapi
Maeneo baadhi ya Kijitonyama Business District
IMG_2390.JPG
539844.jpg
34033673503_cbd4f894bb_k.jpg
34457222870_3b7ee11f1c_k.jpg
34680209422_883d0d7070_k (1).jpg
34680209422_883d0d7070_k.jpg
34033654113_1401f000e1_k.jpg
34843379095_0137d7a9dd_k.jpg
 
Hii Dar bado sana.....inaezaendana na Mombasa sawasawa
sisi tunapiga vitu double double siyo nyie ........mmejazana kuanzia babu mpaka vitukuu kwenye store moja......mnatia huruma aisee


sisi tunaushi kwenye mfumo wa hizo houses vile vile tunamiliki kwa mtu mmoja mmoja .....nairobi level yake ni morogoro dar ni baba yenu kuanzia hapa east africa na africa kwa ujumla
 
Hapo Dar inakaa ni upanga Kariakoo na CBD ndio mtu anaweza ishi. ...sehem nyingine ni uswahili uswahili vidanguro hivi.
In Nairobi. ....you have a whole kiambu county which covers 2500 km sq to choose a decent apartment
You have the larger machakos county entailing Athi river Syokimau Mlolongo to a decent apartment or even purchase land and build.....machakos covers 8000 square kilometers

Then you have Kajiado which entails kitengela Ngong Kiserian Ongata rongai with affordable houses and land.Most of Nairobi's middle class Can afford cheap land in Kajiado

Infact most Nairobians like 60% dont stay with in the city boundaries.

Info 101
ha haaa hayo si majina ya wanyama pori........mkenya wewe ni kituko kwa hiyo city ati uko wafanana na tumbili
 
Hapo Dar inakaa ni upanga Kariakoo na CBD ndio mtu anaweza ishi. ...sehem nyingine ni uswahili uswahili vidanguro hivi.
In Nairobi. ....you have a whole kiambu county which covers 2500 km sq to choose a decent apartment
You have the larger machakos county entailing Athi river Syokimau Mlolongo to a decent apartment or even purchase land and build.....machakos covers 8000 square kilometers

Then you have Kajiado which entails kitengela Ngong Kiserian Ongata rongai with affordable houses and land.Most of Nairobi's middle class Can afford cheap land in Kajiado

Infact most Nairobians like 60% dont stay with in the city boundaries.

Info 101
Wewe huijui Dar es salaam. Kama hujui uliza. Dar ni kubwa mno huwezi maliza kuitembelea kwa siku moja. Nimekupatia Maneo kibao unatakiwa utafute hata kwenye google ni simple sana.
Yaani wewe ukisikia upanga kariakoo ndio basi siyo.
Kisutu hupafahamu? Kivukoni hupajui?
Oyserbay, Msasani, Masaki, Mikocheni, Kigamboni, Mbezi nk. Wewe kama huna pesa kaa kimya

Mikocheni hapa
26527739615_00e5ee81c0_b.jpg


Kijitonyama hapa
34843379095_0137d7a9dd_k.jpg
34033673503_cbd4f894bb_k.jpg
34457222870_3b7ee11f1c_k.jpg
34680209422_883d0d7070_k (1).jpg
34680209422_883d0d7070_k.jpg
34033654113_1401f000e1_k.jpg
 
hii ni barabara ya brt? I can't imagine surrounded by slums
hehehee...looks like a huge panya route.alafu hii ndio wanatuletea nyefnyef nayo apa imagine..unafanya kuichungulia katikati ya izo vibanda
 
Back
Top Bottom