Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ebu tuonyeshe hiyo 600 ulipata wapi? I want to see if your stupidity pia imevuka mwaka [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeshangaa kwann ilikua 600 na sasa 1700ksh yani nimecheka mpaka mwisho kuanguka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mchina atawatahiri mara ya pili
 
Fare is high because there is money in the country. You can't charge poor people high fares, and that's why in Tanzania fares are cheap.[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] Nauli ya ndege from Nairobi to Mombasa was around 17,000 one way and all the flights were full, Nairobi to Kisumu was 14,000 and all flights were full. Nairobi to Ukunda was 15,000 and all flights were full.
Kwamba unataka kuaminisha watu kuwa na nyie mna domestic flight km Tz, mavi ya mbuzi [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji204][emoji204][emoji86][emoji86][emoji85][emoji85][emoji87][emoji87]
 
haina maana kama mnalipishwa toll fee na watu wa nje! hiv serikali yenu mlishindwa nn hata kuwaambia hao wachina wawape mkopo then hio toll fee ikusanywe na serikali yenyewe?? i’m sure mchina atapata hela nying in 27yrs as compared to mngemuomba mkopo
Nani awape mkopo kwa sasa debt inakumbilia 85% to GDP ratio 🤣🤣 ww hunaona hata tax collection wamepungukiwa 42b ksh inabidi tena watafute mkopo
 
JWTZ ni masikini?
JWTZ linamiliki utitiri wa viwanda na miradi mikubwa kwenye agriculture etc

Jeshi lenu linalishwa na serikali 100% mpaka chupi zao wanaomba msaada serikali.
JWTZ is the poorest army in East Africa. Hata UPDF imewashinda kwa utajiri[emoji23][emoji1787][emoji23]
 
Repeat and again can be used in the same sentence. Wewe ulisomea English Google so please stick to google language[emoji1787][emoji23][emoji1787]
Ndo italeta maana gn ss, kwamba "rudia rudia" [emoji118][emoji3][emoji117][emoji86]
 
Ndo italeta maana gn ss, kwamba "rudia rudia" [emoji118][emoji3][emoji117][emoji86]
Ndio maana nimekuambia to stick with google[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]. The meaning in Kiswahili will be "rudia tena". Wewe kingereza yako ni ya Google[emoji1787][emoji23][emoji23]
 
JWTZ is the poorest army in East Africa. Hata UPDF imewashinda kwa utajiri[emoji23][emoji1787][emoji23]
Hebu tuaminishe kua jeshi lenu lilipigana kukomboa nchi za africa ukipata let me know🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndo italeta maana gn ss, kwamba "rudia rudia" [emoji118][emoji3][emoji117][emoji86]
You should just stick to hawking cashew nuts and leave grammar to those who know it[emoji1787][emoji23][emoji23]. "Repeat again" is "rudia tena" na sio "rudia rudia"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Hebu tuaminishe kua jeshi lenu lilipigana kukomboa nchi za africa ukipata let me know[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unataka nikuambie kuwa JWTZ only have 34 aircrafts wakati KDF iko na 150 aircrafts?[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
You should just stick to hawking cashew nuts and leave grammar to those who know it[emoji1787][emoji23][emoji23]. "Repeat again" is "rudia tena" na sio "rudia rudia"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Sawa mzee repeat again [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji86][emoji86]
 
JWTZ is the poorest army in East Africa. Hata UPDF imewashinda kwa utajiri[emoji23][emoji1787][emoji23]
Ngoja tuanza na hapa
This is JWTZ active military more than 120,000
What about Kenya!?
Screenshot_20210102-115818.png
 
Unataka nikuambie kuwa JWTZ only have 34 aircrafts wakati KDF iko na 150 aircrafts?[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]
According to u ?? Hvi ww unafkiri jeshi ni sehemu kama bar that unatangaza kila kitu unaonesha kambi za jeshi kama vile unachanganya kvant na crest au???😄😄

tatizo lako linishakwambia ww unajifanya kila kitu mjuaji alaf huna unalojua 😅😅 tanzania imekomboa karibia nusu ya nchi zote africa leo unataka kufananisha jeshi la tanzania na kenya ambalo hata vita moja hamujapigana
 
Back
Top Bottom