Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jeshi maskini kama ya Tanzania hata ikijua siri ya Kenya yote bado haiezikushinda hata vijana wa NYS
Na nyie siku hizi mna siri? Kila kitu mmetuwekea humu, unadhani jeshi letu halipo humu? Limeona kila kitu na ndiyo maana hamtawahi kushinda vita mana sifa zinawaponza
 
MIradi Ya DMDP Temeke - Dar

Mtoni Kijichi - Dar
Screenshot_2021-01-02 TAMISEMI YA WANANCHI ''TEMEKE INAZIDI KUBADILIKA''.jpg


Screenshot_2021-01-02 TAMISEMI YA WANANCHI ''TEMEKE INAZIDI KUBADILIKA''(1).jpg
 
Leo nakuja kivingine. Sitaki watu walie lie sasa maana huu mchezo hauhitaji hasira
Screenshot_20210102-095427.png


 
Asante kwa habari kwa 2019
Leo nakuja kivingine. Sitaki watu walie lie sasa maana huu mchezo hauhitaji hasira
View attachment 1665304

 
Leo nakuja kivingine. Sitaki watu walie lie sasa maana huu mchezo hauhitaji hasira
View attachment 1665304

Ss ngj tuwafundishe commuter rail system jinsi inakaa, wao wamenunua mitumba wanaipitisha kwenye reli ya mkoloni wanaita commuter rail, you Kunyans tunaenda kuwafundisha kwa mara nyingine tena
 
Back
Top Bottom