The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Na nyie siku hizi mna siri? Kila kitu mmetuwekea humu, unadhani jeshi letu halipo humu? Limeona kila kitu na ndiyo maana hamtawahi kushinda vita mana sifa zinawaponza




Na nyie siku hizi mna siri? Kila kitu mmetuwekea humu, unadhani jeshi letu halipo humu? Limeona kila kitu na ndiyo maana hamtawahi kushinda vita mana sifa zinawaponza




Kiwanda cha Nyumbu kipo na kinajulikana toka miaka mingi, tuoneshe hicho kiwanda chenu cha rifle
View attachment 1665274View attachment 1665275View attachment 1665276View attachment 1665277View attachment 1665278View attachment 1665279
Tangu lini mkunya akawa na siriachana nao.. ndege zao sio siri kuzionyesha ila kiwanda ni siri??? achana nao utapoteza muda bure






Na nyie siku hizi mna siri? Kila kitu mmetuwekea humu, unadhani jeshi letu halipo humu? Limeona kila kitu na ndiyo maana hamtawahi kushinda vita mana sifa zinawaponza![]()
Kenyatta yuko wapi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi nilisha mpigia Kura Jembe Langu
Nawe Kafanye hivoView attachment 1665223
Sasa ndege itakuwaje siri wakati it's almost daily to Somalia.achana nao.. ndege zao sio siri kuzionyesha ila kiwanda ni siri??? achana nao utapoteza muda bure







Leo nakuja kivingine. Sitaki watu walie lie sasa maana huu mchezo hauhitaji hasira
View attachment 1665304
![]()
Dodoma commuter rail study commissioned
TANZANIA: Tanzania Railways Corp has awarded an international consortium a €2·5m nine-month contract to undertake feasibility and preliminary design studies for a commuter rail network in the capital Dodoma. The consortium is led by Spanish consultancy Ardanuy Ingenieria and includes...www.railwaygazette.com
hii1 tuu inanunua kenya airforce yoteJeshi maskini kama ya Tanzania hata ikijua siri ya Kenya yote bado haiezikushinda hata vijana wa NYS![]()



kua mkunya yataka moyo aseeKumbe sio 600ksh kumbe ni 1798/= ksh hahahahahahahhahahahaha mamaeee mchina kawabaka mchana hvi hvi na naomba The best 007 isave hii itasaidia mwaka huu
Tony254 Geza Ulole
Njooni muone dunia imeingia 2021





Aisee alaf yako humu yanashangilia 🤣🤣🤣 alaf angalia hata condition ya expressway baada ya 27yrs itakua katika hali gani ??kua mkunya yataka moyo asee![]()
Jeshi letu maskini lkn ni very clever linashinda vita, hebu niambie jeshi lenu tajiri limeshinda vita gnJeshi maskini kama ya Tanzania hata ikijua siri ya Kenya yote bado haiezikushinda hata vijana wa NYS![]()



Ss ngj tuwafundishe commuter rail system jinsi inakaa, wao wamenunua mitumba wanaipitisha kwenye reli ya mkoloni wanaita commuter rail, you Kunyans tunaenda kuwafundisha kwa mara nyingine tenaLeo nakuja kivingine. Sitaki watu walie lie sasa maana huu mchezo hauhitaji hasira
View attachment 1665304
![]()
Dodoma commuter rail study commissioned
TANZANIA: Tanzania Railways Corp has awarded an international consortium a €2·5m nine-month contract to undertake feasibility and preliminary design studies for a commuter rail network in the capital Dodoma. The consortium is led by Spanish consultancy Ardanuy Ingenieria and includes...www.railwaygazette.com




