Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aisee alaf yako humu yanashangilia [emoji1787][emoji1787][emoji1787] alaf angalia hata condition ya expressway baada ya 27yrs itakua katika hali gani ??
nauhakika mchina atawakamua zaidi ya 27yrs ili pesa yake irudi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe sio 600ksh kumbe ni 1798/= ksh hahahahahahahhahahahaha mamaeee mchina kawabaka mchana hvi hvi na naomba The best 007 isave hii itasaidia mwaka huu

Tony254 Geza Ulole
Njooni muone dunia imeingia 2021

Hahahaaaa, maamaee watajamba mwaka huu wallahi [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji204][emoji204][emoji86][emoji86][emoji87][emoji87]
 
nauhakika mchina atawakamua zaidi ya 27yrs ili pesa yake irudi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamesema faida yake itakua more than 1b usd but am sure itakua zaidi ya hapo mara mbili 🤣🤣🤣🤣🤣 na ukumbuke all employment zinazohusiana na expressway zitakua kwa wachina kama vile SGR
 
Ss ngj tuwafundishe commuter rail system jinsi inakaa, wao wamenunua mitumba wanaipitisha kwenye reli ya mkoloni wanaita commuter rail, you Kunyans tunaenda kuwafundisha kwa mara nyingine tena [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
tena dom ata sio dar [emoji23][emoji23][emoji23]
wkt wakiangaika na dodoma kitu cha elevated kina load daslam [emoji23][emoji23][emoji23]
 
CC: Tony254 ukiwa busy ku-post ujenzi uwe pia busy ku-post the planed toll fee on that road! mind ur treasury has guaranteed investors that incase the money is not recouped back, GoK will have to pay inform of loans with interests!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kenya lazma itakua imelaaniwa yani kuna mambo ukisoma mpaka mwili unakufa ganzi
 
CC: Tony254 ukiwa busy ku-post ujenzi uwe pia busy ku-post the planed toll fee on that road! mind ur treasury has guaranteed investors that incase the money is not recouped back, GoK will have to pay inform of loans with interests!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15]
 
Dar es Salaam
Screenshot_2021-01-02 TAMISEMI YA WANANCHI ''TEMEKE INAZIDI KUBADILIKA''(2).png


Screenshot_2021-01-02 TAMISEMI YA WANANCHI ''TEMEKE INAZIDI KUBADILIKA''(1).png
 
Anachukua anaweka waaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wasubiri mkopo wa 42b ksh kuziba hio tax revenue hole

Kuna mtu alikuwa ana comment ila alipoona toll fee ni ksh 1800 kakimbia kutafuta evidence, nimwambie tu mambo hayatabadilika itakuwa km ilivyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kumbe faida yao walikuwa wanaipata Tanzania.baada ya kuondoka TZ sasa hawapati faida.
Ndio nashangaa hayo ma mall ya kusafisha macho mjini mnanunua vitu kweli?Na kama mnanunua kwa nini yafirisike?
JamiiForums1831567024.jpg
 
Back
Top Bottom