Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uko ahead ya kitu gani wewe mshamba!!?
1. ICT tunawapiga ile mbaya
2. Telecom tunawapiga ile mbaya.
3. Starehe tunawapiga ile mbaya
4. Music Industry tunawapiga sana
5. Movie Industry tunawanyoa kwa chupa
6. Utalii tunawagonga
7. Security issues tunawapeleka jando
8. Food Security and Availability hamutuwezi
9. Kwa kukimbia ovyo ovyo mnatuzidi. Mnakimbia zaidi ya punda
10. Public Transport tunawazidi ile mbaya.
Sasa wewe unabakiwa na nini? Zaidi ya kutoa povu kama huna akili nzuri.
Wanatuzidi kunya bila kutawadha
Kujifanya wajuaji wakati umasikini wa wakenya mpaka matakoni
 
Kazi kazi

RAIS DKT. JOHN MAGUFULI AKUTANA NA WATAALAMU WA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Juni, 2017 amekutana na timu ya uataalamu wa masuala ya umeme na ujenzi wa mabwawa ya maji ya kuzalisha umeme iliyotumwa na `Vann Mkuu wa Ethiopia Mhe. Hailemariam Desalegn kwa lengo la kubadilishana uzoefu na Tanzania.

Mhe. Rais Magufuli amesema timu hiyo inayoongozwa na Waziri wa Maji, Umwagiliaji na Umeme wa Ethiopia Dkt. Seleshi Bekele imekuja nchini kubadilishana uzoefu na timu ya wataalamu wa Tanzania ambayo inasimamia utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge Forrer Project).

Katika mazungwnzo na timu hiyo yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam, Mhe. Rais Magufuli ameelezea nia yake ya kuhakikisha mawazo ya Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere ya tangu mwaka 1980 juu ya kuzalisha umeme kutoka maporomoko ya mto Rufiji, yanatekelezwa haraka iwezekanavyo.
FB_IMG_1498667382944.jpg
 
Sijaelewa unamanisha kuwafikia kwa lipi! Unamanisha kuwafikia kwa roho mbaya yakutopendana,kwa njaa au unamanisha kutowafikia kwa maisha duni ya raia ,kua na gap kubwa kwa walionacho na wasio kua nacho!Au unamanisha kutowafikia kwenye poor security! Au wamanisha kutowafikia kwenye chakula kufanya ratiba ya ugali sukuma wiki ikawa permanent kwenye most of your family ,ebu tueleze vizur unamanisha kutowafikia kwa lipi !
 
watu wangu wa nguvu wa DAR CITY kilichobaki kwa wakenya humu kwa sasa ni mapambio tu.......kiukweli wanaugonjwa wa ukichaa ile nairobi since 1980 mpaka leo ni ipo vile vile tu yaani haikui ni imepwaya mwanzo mwisho ......vilivyoongezeka ni vichache sana

Kwa upande wa DAR CITY jiji la kuenjoy africa kila uchao tunapanda tu.....
nairobi ni levo za mwanza na si dar es salaam......

dar ni city of bizness
 
watu wangu wa nguvu wa DAR CITY kilichobaki kwa wakenya humu kwa sasa ni mapambio tu.......kiukweli wanaugonjwa wa ukichaa ile nairobi since 1980 mpaka leo ni ipo vile vile tu yaani haikui ni imepwaya mwanzo mwisho ......vilivyoongezeka ni vichache sana

Kwa upande wa DAR CITY jiji la kuenjoy africa kila uchao tunapanda tu.....
nairobi ni levo za mwanza na si dar es salaam......

dar ni city of bizness
Hata hio mwanza wakae mkao wa kula maana inajengeka kiutamu sana.....amazing
 
Eti middle economy imeshindwa ku handle njaa almost 5 months now?????
Ukiwaamabia middle economy ya kwenye makaratasi wanakasirika😀😀😀😀😀
You know one thing that is terrible and disturbing about these so called Kenya Fanatics is that they do not accept at all weaknesses that exists in their cities ,towns ,countryside areas and nation in general concerning development levels and standards that they have .To tell you the truth I am from Tanzania and there are some filthy weaknesses in various towns and cities in our country but when we are telling you the dirty situation and roughness of other aspects of your cities like Mombasa you seems to denie these facts completely shamelessly and you want to turn us all as fools to believe your cities are likrle those from developed countries or something .Please just comply to the reality we have our weaknesses as to Tanzanians and you have got yours as Kenyans as well and more over we are both on the same track towards economic excellence
 
You know one thing that is terrible and disturbing about these so called Kenya Fanatics is that they do not accept at all weaknesses that exists in their cities ,towns ,countryside areas and nation in general concerning development levels and standards that they have .To tell you the truth I am from Tanzania and there are some filthy weaknesses in various towns and cities in our country but when we are telling you the dirty situation and roughness of other aspects of your cities like Mombasa you seems to denie these facts completely shamelessly and you want to turn us all as fools to believe your cities are likrle those from developed countries or something .Please just comply to the reality we have our weaknesses as to Tanzanians and you have got yours as Kenyans as well and more over we are both on the same track towards economic excellence
Summary plz
 
Hata hio mwanza wakae mkao wa kula maana inajengeka kiutamu sana.....amazing
hawa wanafiki wakikenya wanaojifanya wanatupenda humu wakati wanaotupenda wapo zao majumbani .....mombasa,kisii n.k aisee watajuta na haibu itawashika
 
Danganyikans suffering from inferiority complex....looking for everything negative in Kenya....we don't have time for such crap
Accepting the weakneses and work upon it to improve the contemporary situation is better lather than deny it cause it will soon turn into cancer that will consume you hopeless Kenyans from inside as a country, watch out now
 
namba Tisa imesanisababishia kucheka mpaka nimeumiza mbavu zangu...
Hio kukimbia kama punda angalia how much a boston marathon athlete would get paid if he won, let me jus spare the time and tell u usd.500,000 huyo mwenye anaongea mbaya ata ameshawaii make that cash since he was born? Respect people's hustles
 
Hio kukimbia kama punda angalia how much a boston marathon athlete would get paid if he won, let me jus spare the time and tell u usd.500,000 huyo mwenye anaongea mbaya ata ameshawaii make that cash since he was born? Respect people's hustles
Heri kukosa pesa kuliko fedheha ya kinyama. Ulishawahi kuona mzungu anakimbia kimbia ovyo!? Ni wanyama pekee wanakimbia. Hata mnyama akivalishwa gauni atabaki kuwa mnyama tu.
 
Back
Top Bottom