Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ujue COLLO laiti mzazi wako angekuwa freemason lazima angekutoa kafara sababu hauna faida yeyote ya kuwepo hapo nairobi..........unasifiaga utumbo tu na unatetea vitu matope ......wakenya wenzako waliofika dar wanaipa salute......cha ajabu wewe usiyefika na kamwe hautoweza fika kutokana na umaskini unabishabisha tu
lusematic kiboko ya collomzii....hivi unatoa wapi vijembe kama hivi kaka?

Hahahahah...dah...we mtu mbaya sana ujue.nimekuvulia kofia kwa maneno ya shombo dhidi ya wakenya.
 
Uko ahead ya kitu gani wewe mshamba!!?
1. ICT tunawapiga ile mbaya
2. Telecom tunawapiga ile mbaya.
3. Starehe tunawapiga ile mbaya
4. Music Industry tunawapiga sana
5. Movie Industry tunawanyoa kwa chupa
6. Utalii tunawagonga
7. Security issues tunawapeleka jando
8. Food Security and Availability hamutuwezi
9. Kwa kukimbia ovyo ovyo mnatuzidi. Mnakimbia zaidi ya punda
10. Public Transport tunawazidi ile mbaya.
Sasa wewe unabakiwa na nini? Zaidi ya kutoa povu kama huna akili nzuri.
namba Tisa imesanisababishia kucheka mpaka nimeumiza mbavu zangu...
 
Huwezi na hio ujinga yote..uko na u fuckdem za kiwaaana
We millionaire wa wapi tena .....mbona ushamba umekujaa unakuja hapa hafu unatukana tukana .......ujue nakushangaa kiasi cha kukuweka level za wendawazimu wa nairobi.......walioshindikana ....kutwa kulala chini ya kifly over chenu......kile

hivi kweli utafikia level za kijanja wewe
 
Unajua hapo Tz because of lack of investors...government ndio ina invest....different case na hapa ambapo private sector INA dominate ...serikaliya Kenya ni ku concentrate kwa infrastructure
Nimekuambia leta hapa reference ya Internet Data Center hiyo. Mbona unaimba imba tu.
 
Unajua hapo Tz because of lack of investors...government ndio ina invest....different case na hapa ambapo private sector INA dominate ...serikaliya Kenya ni ku concentrate kwa infrastructure
hujui kitu kuhusu investment modality ya tz.bora tu ukae kimya kijana."unajitia" aibu.
 
Unajua hapo Tz because of lack of investors...government ndio ina invest....different case na hapa ambapo private sector INA dominate ...serikaliya Kenya ni ku concentrate kwa infrastructure
Twende kazi upate kujua dunia inaendaje sasa

TANZANIA TO BECOME ICT HUB IN EAST AND CENTRAL AFRICA
The Tanzania Telecommunications Company Limited (TTCL), in an event held in Dar es Salaam last week, announced that with the completion of the national fibre cable network and the official launch of the 100% national high-speed broadband coverage across Tanzania, it aims to make the country the Information and Communication Technology (ICT) hub in East and Central Africa.


The Tanzania national ICT optical cable backbone has already become the source of information technology for neighboring countries as Burundi, Rwanda, Zambia, Malawi, Kenya, Uganda, and Mozambique, explained TTCL’s Chief of Sales and Marketing Officer, Mr. Peter Ngota.

Tanzania To Become ICT Hub In East And Central Africa| Power & Energy Tanzania 2017
 
Back
Top Bottom