komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kapumzike mkuu, manake nishakupuuza tayriWeka list ya bidhaa Kenya inauzia Tanzania tuone![]()
Kapumzike mkuu, manake nishakupuuza tayriWeka list ya bidhaa Kenya inauzia Tanzania tuone![]()
Nitalia sana ukifanya hivyo, because I love UUkikosa hoja tulia tu mzee baba, manake nita ku ignore tu ukiendekeza utahira




Nani wa kutumia white dent hku jamaniumeona hii,hii iko na kisasi kidogo sana cha karafuu,kiasi kwamba hata mtoto mdogo anatumia.mana haiwashi sana wala kuchubua kinywa.
hiyo colgate sikumbuki nimekutana nayo lini kama sio 2009,kitu kama hicho,wachache sana wanatumia hizo.View attachment 1661442


EndeleaNitalia sana ukifanya hivyo, because I love U![]()
bro kampuni ya colgate kumbuka sio ya mkenya,Nani anatumia Colgate Tanzania?,![]()
usijejaribu kutumia,hutaiacha. na itamalizwa na watoto ndani ya nyumba.Nani wa kutumia white dent hku jamani![]()
Twiga Cement Tanzania
Moto ni ule ule
View attachment 1661373View attachment 1661374View attachment 1661376View attachment 1661377View attachment 1661379
huyo hana anachojua.bro kampuni ya colgate kumbuka sio ya mkenya,
ile ni univers comp bythe way huku tuna whitedent hatuna shida na kampun ya mmarekani
kwaniniMtu akisoma huu uzi anaweza kufikiri kuwa TZ ni first world country kumbe ni shit-hole country kama zingine.




.Kaka makampuni ya Kenya 90% ni makampuni ya nje, au yabamilikiwa na wageni, tukiwanyang'anya hayo makampuni watabaki na Kibera pekee, acha tuwaachie tubro kampuni ya colgate kumbuka sio ya mkenya,
ile ni univers comp bythe way huku tuna whitedent hatuna shida na kampun ya mmarekani




wanajitekenya tu ndo maana hata JF wapo wachache sana.Kaka makampuni ya Kenya 90% ni makampuni ya nje, au yabamilikiwa na wageni, tukiwanyang'anya hayo makampuni watabaki na Kibera pekee, acha tuwaachie tu![]()
This is the last kick of a dying Nyang'auMtu akisoma huu uzi anaweza kufikiri kuwa TZ ni first world country kumbe ni shit-hole country kama zingine.




Huyu Diamond anaweza kuwa ni Mkenya.
Fursa hio wasenge chukueni, jamaa yuataka kuni huyu.Nitalia sana ukifanya hivyo, because I love U![]()
Mpka sasa ni ngapi mesha uza?Watu wakitengeza magari wengine wansherekea viberiti na dawa ya mswaki.
View attachment 1661431


unatuonyesh kitu hata hamiliki....ona hii 100% Tz made
Sijawai tumia kitu km hicho, manake dawa za miswaki zimejaa tele mbona hzo sizioni madukaniusijejaribu kutumia,hutaiacha. na itamalizwa na watoto ndani ya nyumba.
Mimi ninampenda binti Komora, amesema yeye ni KE, kuna ubaya gani?Fursa hio wasenge chukueni, jamaa yuataka kuni huyu.



ni dawa ya meno mkuuSijawai tumia kitu km hicho, manake dawa za miswaki zimejaa tele mbona hzo sizioni madukani

.
.Huyu Diamond anaweza kuwa ni Mkenya.




mchukueni na alikiba na nandy kabisa vp tukiwaongezea na hamonize?