Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tulikua busy kukomboa nchi za Africa na kujenga umoja wa Taifa letu, kufuta ukabila, rushwa na Nepitism, sasa tumemaliza hayo yote sasa hivi tunajenga uchumi wetu na tumewafikia na tunawapita.

Ninyi vipi kuhusu kujenga umoja wa Taifa lenu na kufuta ukabila na rushwa, lini mtaanza hiyo kazi, au ndio basi tena imeshindikana?
Hamkua pekeyenu, emu tupe status ya wale mliopiga collabo nao kihali wako vipi
 
Kenya tunaijua vizuri kuliko wewe wa Kibera, nenda Super Markets za hapo Nairobi kama hutokuta "White dent tooth paste", wewe nina uhakika hata uwezo wa kutumia tooth paste huna
Kumbe super markets, mbona maduka ya mitaani hawauzi km vile nyie mnauziwa colgate mpka mitaani.
 
Watu tuko self sufficient upande wa maziwa, wengine wapost malory machafu. Ushuzi wa mbaazi.
IMG_20201228_132118_309.jpg
 
Vipi kuhusu kujenga umoja wa kitaifa, kufuta ukabila, rushwa na land grabbing, lini mtaanza hiyo kazi au ndio basi tena imeshindikana?
Leo nakupiga vibaya sana mpka unaruka ruka tu..
Tulia mzee baba
Wenzenu mliofanya nao vipi hali zao kimaisha
 
Kumbe super markets, mbona maduka ya mitaani hawauzi km vile nyie mnauziwa colgate mpka mitaani.
umeona hii,hii iko na kiasi kidogo sana cha karafuu,kiasi kwamba hata mtoto mdogo anatumia.mana haiwashi sana wala kuchubua kinywa.

hiyo colgate sikumbuki nimekutana nayo lini kama sio 2009,kitu kama hicho,wachache sana wanatumia hizo.
JPEG_20201228_133235_8319776342250205413.jpg
 
Back
Top Bottom