Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Who is davis muli???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bila wakenya Diamond angefaulu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
IMG_20201219_134101_402.JPG
 
Wewe mtu wa Arusha unajua nini kuhusu Zanzibar?
Buda, mimi najitahidi sana inapokuja swala la kusafiri, kila ratiba zangu zikinipa mwanya nasafiri na hii ndio miji na mikoa nliyoishi na kutembelea TZ: Tanga, Kilimanjaro, Iringa, Arusha, Zanzibar, Dodoma, Mwanza, Kagera, Morogoro, DSM ndo napoishi. Mji ninaoutamani kufika now ni mbeya then mingine itafuatia, so huniambii kitu kuhusu nchi yangu tukufu TANZANIA
 
Nchi yenye inamine gold na diamond yet it is one of the poorest in the world. What a shame and an embarrasment to other Africans.
Buda, unajua fika majanga ya njaa yanayotokea Kenya ni kitu ambacho Tz haijawahi kushuhudia, watu na wanyama wanakonda na kubaki skeletons! Unafikiri tunaposema kuwa sisi ni matajiri kuliko jumuiya za wazungu zinavyotulable ni maigizo? tukipima kiuhalisia hamtukuti na siku moja mtayasema haya nyie wenyewe
 
Back
Top Bottom