Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Angalieni estate hizo, kudadeki hawa nugu size yao Mombasa, Nairobi mziki wake mnene.
2643722_images_59.jpeg
 
Kwa 20+ flr hamuwezi chapa Nairobi ata[emoji1787]
Ww nyie hakuan kitu mtatuambia...ila siwez hesabu ma 20+ yote....ongeza dau kidgo tufanye 35+ hii kazi inakuwa hata rahisi unasemaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji23][emoji23][emoji23]
 
That should tell you that Kenya is still controlling huge chunk of Tanzanian economy[emoji23][emoji23].
The moment you will awake plz inform me.....you sound like still dreaming[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo pia sitashangaa kupata more than 70% of her/his followers are Kenyans[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha ila backhome hata mwenye 2 million followers hamna? 😂😂😂

Nipe media yoyote Kenya yenye 500 million views YouTube 😅😅
 
Yani hawa jamaa huaga wanaiogopa san mombasa..
Wanashangaa mbona vipi hawaelewi, ila inabidi serekali watutafutie suluhu bana kw hii barabara ya buxton bondeni..

Yani mida mingine gari ni nyingi mpka inabidi inafanywa kuwa one way mida ya jioni banaView attachment 1654287
Mombasa so mchezo, ngoja kwanza ile highway ya kwenda mariakani 42km iishe.
 
Back
Top Bottom