Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenyan homes, international tourism attraction

Hakuna mtanzania anaepumua amewahi kuishi kwenye haya mazingira toka dunia imekua

View attachment 1654349View attachment 1654351
Kibera wana nguzo za umeme nashngaa bongo kiza kiza
Screenshot_20201212-010718_YouTube.jpg
Screenshot_20201212-010808_YouTube.jpg
 
Mbona basi km tunazaana km panya after uhuru tulikua sawa jamani, imekuaje tena mkazaliana hvo na wakati kwenu kumejaa misitu na mbuga..
Au ndio manakw mumejazana dar tu
Sisi tunazaliana sababu tuna vya kutumia, ninyi mnazaliana kwa kushindana na sisi?

Ulishasikia tukisaidiwa chakula? 😂😂😂

Badala yake ndio tunawasaidia chakula ninyi
Screenshot_20201216-140718.png


Utasema kwamba wakongo wanazaliana hovyo?
 
Sisi tunazaliana sababu tuna vya kutumia, ninyi mnazaliana kwa kushindana na sisi?

Ulishasikia tukisaidiwa chakula?

Badala yake ndio tunawasaidia chakula ninyi View attachment 1654357

Utasema kwamba wakongo wanazaliana hovyo?
Ripoti ya tuliomba iko wapi, si huyo hiyo zitto ndio kasema polisi wameua watu kule kibiti alafu wakawazika katika shimo moja
Au ilkua unamuongelea zitto yupi
 
hope bado mko na watu wale wale kwa eneo lile lile.
Elimu ya hawa watu ni hopeless sana, yaani wanajilinganisha na Tanzania kabisa inayolima chakula na kutumia 30% tu huku zaidi ya 70% havina walaji, wao kujitosheleza maji tu Nairobi ni mzozo
 
Ndio manake kila watoto wao wanapokua wakubwa wanawaza kwenda dar kujenda dream house yake abaki hko hko
Hahahaha Em chekecha akili yako ujue Kenya ina population kiasi gani na wangapi wapo Nairobi na Tanzania Ina population gani na wangapi wapo Dar

Ndio utajua namna Nairobi ilivyo last hope ya each Kenyan

Pia angalia miji mikubwa ya Kenya ni mingapi na miji mikubwa Tanzania ni mingapi
 
Back
Top Bottom