Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya na Tanzania zilikuwa na similar population size wakati wa uhuru. Lakini baada ya uhuru hawa jamaa waliamua kuraruana sana.
nchi mnanjaa mpaka leo miaka 57 baada ya Uhuru mtakuwaje na idadi sawa na sisi tunaowalisha?
 
1960 kenya na tanzania population zilikuaje
Nadhani ukisha google ndio utaelewa kwn tunasema mnazaana kiholela tu
hamtumii akili tu.

tulikuwa sawa ndio,leo tumewazidi watu 10ml,eneo tumewadouble,tena eneo lenye faida sio kame.
 
Kenya is exactly 0ver 54 mln people as of December 19, 2020!
  • The current population of Kenya is 54,315,808 as of Saturday, December 19, 2020, based on Worldometer elaboration of the latest United Nations data.
Mimi naongea kuhusu data ya census na wewe unanipa huu utopolo?
 
20201219_150939.jpg

Mombasa city of kenya
 
Kenya na Tanzania zilikuwa na similar population size wakati wa uhuru. Lakini baada ya uhuru hawa jamaa waliamua kuraruana sana.
Ndio manake kila watoto wao wanapokua wakubwa wanawaza kwenda dar kujenda dream house yake abaki hko hko
 
Hahaaa!!basi hapo wajiona eti umenikamata, we sema tu km hutaki tujenge BRT uende mahakama ya EAC ukapinge jomba.

Ila majungu kw sasa hayatokufikisha kokote pale
Nyie hamjengi brt,mwajenga tu stations🤣🤣ila ONLY BRT iko palepale..
 
hamtumii akili tu.

tulikuwa sawa ndio,leo tumewazidi watu 10ml,eneo tumewadouble,tena eneo lenye faida sio kame.
Kwa hivyo kwa sababu mna ardhi kubwa kutushinda kwa hivyo mna ruhusa ya kuraruana mnavyopenda bila kupanga uzazi? Aisee pangeni uzazi majirani.
 
Kwa hivyo kwa sababu mna ardhi kubwa kutushinda kwa hivyo mna fursa ya kuraruana mnavyopenda bila kupanga uzazi? Aisee pangeni uzazi majirani.
hakuna taifa kubwa lenye idadi ndogo ya watu,ndio maana hata SA saa hizi ishashuka no 3 huko.
 
Back
Top Bottom