Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo bra bra hazina naface hapa. Kwani nani hajaishi Nairobi? Unadhani sisi hatuijui Nairobi?
Nimekwambia acha bra bra. Kama hujui kitu kaa kimya sisi tukuletee. Usijifanye mjuaji wakati hujui. Nimekwambi wewe leta references za Nairobi. Wewe unakuja na maneno ya siasa.
Je?
1. Nairobi kuna BRT?
2. Nairobi kuna Island?
3. Nairobi Kuna uwanja mkubwa wa Taifa?
4. Nairobi kuna fish market?
5. Nairobi kuna daraja kama la Nyerere?
6. Nairobi kuna beaches?
7. Vipi kuhusu hotel za Nairobi na za Dar?

Wewe unakuja na bra bra hapa. Tatizo huna exposure. Umetokea porini na kwenda Nairobi. Sasa umerudi dar na huja wahi hata kutembea zaidi ya kwenda kazini na kurudi nyumbani kwako.
 
Kama si noma basi noma sana, kudadeki dar yabakwa.
View attachment 1654028
Ww unasemaje.....Mwanza iko hapa kwajil ya mombasa ushuzi
Screenshot_20201205-170102.jpg
 
Tatizo lao kubwa hutaka kujiona wao wanauwezo flani wakutunishiana na sisi lkn bado wanashangaa mambo hayaendi poa
Kutunishiana na nyie misuli?.. kwenye kipi? Niniambacho unaweza jivunia kwamba mme tuzidi. Nasitaki unitajie malls and unfinshed road? Kitu mnatakiwa kuelewa watanzania hatujifananishi na kunyans niwe tu mkweli kabisa.. we aiming way higher WE WANNA BE THE BEST IN AFRICA NA INSHALAH HAVE A SAY IN THIS WORLD ONE DAY.. Kenyans niwe tu mkweli no hard feelings Watanzania hatuwawazagi kabisaa cause tunajua we are better than u. Nyie makaratasi ndo yatawadanganya lakini kwa ground we all know how it goes. Ukiangalia ata media zenu zinatufatilia mno but you rarely hear Tz talking about y'all hapo ndo ujue we ain't your cup of tea.
 
Imeandikwa wapi lazima tutazame mziki za wasani wetu? Most Kenyans like Tanzanian and Nigerian music compared to Local music.
Kama ni kweli basi kenye ni vilaza. Maana diamond anapataga mpka view million 70+.. kama kenya mnacontibute hata 20m tu mbna mnashindwa kuwapa wasanii wenu atleast 15.
 
That's not a donation. That's a Chinese facility that was built outside University of Nairobi to help in teaching of Chinese language and culture.
It’s a facility in one if your University just like the Library i shared. Nyie ndio kila kitu Hadi msosi mmepewa na hawa masela .

CHINA AID facility in your Middle finger Country University.


View attachment 1654156
View attachment 1654157
View attachment 1654158
View attachment 1654159
View attachment 1654160
View attachment 1654161
 
Back
Top Bottom