So you know better than Tanzania Civil Aviation Authority which said that Mwanza is handling 200,000 passengers?Mwanza handles 500K pax





In case you didn't know that JKIA handled 8.3 million passengersFirst hamjawahi kufika 8mil passnger
Second, kama nyumba iko overcrowded that doesnt mean ndio kubwa.
Our airport is biggest in east africa hata kama inaserve less than jkia lakini bado nikubwa kuliko yenu.
Hii ni sawa na kusema nyinyi mnachumba kimoja wanaishi watu 10.
Sisi tuna nyumba ya vyumba 10 wanaishi watu 4 so kila mtu anachumba chake na exta rooms zinabaki.





Yani hii nchi kila kitu ni donation?![]()


Yaani nikiangaliaga hapo Kenya, Kitu ambacho ni cha kwenu 100% ni shida sana kupata, nasikia hata barabara zenu wanamiliki nchi nyingine (中华人民共和国)Wanakataa saivi kwamba vijiji vyao sio mombasa suijui wanataka nini tena..Mpe na Hizi,
More of Iringa Vijijini, Huku umaskini tulishafukuzia Kenya
View attachment 1654063View attachment 1654064View attachment 1654065View attachment 1654066View attachment 1654067View attachment 1654068View attachment 1654070View attachment 1654075
Serious match kwn nyie ndio ilkua hamtaki kucheza na everton, rooney mlifanya kumuonea uwanjani tuGor Mahia can't and can never beat Simba in a serious Match. Mark my word. We normally try our players from team C in ndondo tournaments..
Yanga as well. Labda tukutane CAF championship ndio utajua the true Simba.



Msaada hadi wa kujenga vyoo?Yaani nikiangaliaga hapo Kenya, Kitu ambacho ni cha kwenu 100% ni shida sana kupata, nasikia hata barabara zenu wanamiliki nchi nyingine (中华人民共和国)



Kisauni ya wapi hyoWanakataa saivi kwamba vijiji vyao sio mombasa suijui wanataka nini tena..
Ona hawa watu hapo ni mombasa mjini




Hadi Vipingo huwa wanasema ati iko MombasaKisauni ya wapi hyo
Hawa wazee wa media huaga wana tabu sana, hata diani huita ni mombasa![]()


Sasa hapa ni wapi? Ama ni Tanzania?


Ndio tatizo la watu wa upcountry, sana sana wale ambao hawaijui mombasa..Hadi Vipingo huwa wanasema ati iko Mombasa![]()








Sasa hapa ni wapi? Ama ni Tanzania?![]()
Hadi Vipingo huwa wanasema ati iko Mombasa![]()
Tangu lini bloggers wakawa watu wa media?Sasa iyo ni shughuli yenu kubishana na media zenu.


