Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya mnazarau sn hahahaaaa eti nyumba ya nusu milioni yako ya milioni 200 iko wapi, ila nyie dawa yenu km anavyowafanyia ichoboy anawapiga on air zen anawapiga on ground mnabaki kulia lia tu maamaee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba ya milioni mia mbili naitoa mimi, mbona wanipeleka mbali hko..
Hzo ni za akina joho bana
 
Kwn tanzania mlipigana vita lini mkashinda
Manake kenya tumenyakua majimbo kadha aya alshabab tena bila ya msaa wa yyte yule..

Jubaland sai wanaishi kw amani wala sio km zamani baada ya kuwakeketa mashababi na kuwafabya wakimbie..
Swali ni kwamba, lini mlishinda vita na hiyo vita mlipigana na nchi gani, kwa mfano mm naweza kukuambia kwamba TPDF imewahi kushinda vita dhidi ya Uganda, kule Comoro, M23, pia wale wahuni wa kule mozambique, just to mention the few.

Haya na ww niambie kdf imewahi shinda vita gn ukinijibu naondoka humu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chai ni kisimayu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
download.jpeg.jpg
 
Swali ni kwamba, lini mlishinda vita na hiyo vita mlipigana na nchi gani, kwa mfano mm naweza kukuambia kwamba TPDF imewahi kushinda vita dhidi ya Uganda, kule Comoro, M23, pia wale wahuni wa kule mozambique, just to mention the few.

Haya na ww niambie kdf imewahi shinda vita gn ukinijibu naondoka humu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania haijawahi pigana vita..
Kdf imenyakua kismayu pekeake nyie mnaleta collabo tena na wahuni tu[emoji23][emoji23]

Yani hapo unapotaja hvyo vita unatakaiwa uwataje wale washirikana mliopambana nao..kwn mlikua pekeyenu.

Tanzania lini iliteka hta kijiji kinachomilikiw ana ADF hko congo
 
Kwa ground
Kenyan Clubs will never be at the Level of Tz Clubs, Never
You fools mlichezeshwa na Kikosi C cha simba halafu nnajipiga Kifua eti, yaani Club Kubwa kama Simba aache kupumzisha wachezaji wake akomae na Mabonanza?
See what Simba does to Big clubs, that No Kenyan club can have such Record of Home ground for the past seasons
20201204_211335.jpg
20201204_211329.jpg
 
Back
Top Bottom