Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I pity your government, na venye mnakuanga na shida za kulipa madeni
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ndio huyo huyo unaemchukia dunia inamtambua kafanya maajaby hayajawah tokea duniani chuki zao hazitasaidia pambana na umaskini kwanza
 
Mchina anachukua ajira zote za express way miaka 30 mchina anachukua ushuru wote wa express way miaka 30 alaf mtu anakenua meno🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 huenda ajira zikawa zaidi ya watu 100
9D7D8C38-2224-44C1-BC47-92B774411F45.jpeg
 
Hakuna BRT kenya na haitakuwepo 20yrs mark my words kazi iliobakia ni hiii hapa
View attachment 1653116
halafu huyo huyo aliyepost hayo marender nakumbuka aliwahi kusema kuwa brt kwa nairobi haina maana iweje leo ajitoe akili ajifanye kuwa ndiyo kapata taarifa kuwa kuna ujenzi wa brt..?!!!!

inaonyesha dhahiri hata kinachojengwa hapo hajui kwa 90% ila huwa anasikia sikia tu
 
Hahahaha wakitaka kujenga BRT waifumue thika yote nje ya hapo BRT wataskia kwenye makalio yao 🤣🤣🤣🤣🤣

watabakia na kale kaneno sisi tunajenga miaka mitatu leo siku hzi huskii wakiongelea tena 😅😅😅
Ndoto za mchana mwisho wa siku wataweka mahema alafu waseme BRT tayari we subiri tu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom