Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hao wazee wa kusaliti renders
hao ni noma,siku hizi wanavyojengewa havieleweki,hapo open hata ukisema uamue kumfuatilia kiundani huyo nyumbu anayeokota okota data kila sehemu na kujifurahisha kwa kujiaminisha ,,,
hivyo vitu anavyopost haukosi dosari yaani hizo data zake lazima zikinzane zenyewe...
 
Huyo nguruwe haezifikiria usijisumbue naye
Hapa Kenya au co
JamiiForums864501110.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
You brain is rotten, there will be no payment of toll fee in that bridge but the Koreans will be laughing all the way to the bank every month after your poor government have struggled to get money to pay them. In PPP, the GOK will not be involved in payment of the loan, GOK will not be disturbed by maintaining of the road. Finally, GOK will be enjoying the taxes being paid by the investors as they operate in Kenya
So kuna tofaut umegundua kuna sehemu kama mumeuza nchi hvi 🤣🤣🤣🤣 miaka 30 mchina anawacharaza viboko na hapo ajira zote kwa wachina kama walivofanya ile SGR ambayo ina technology ya 100 yrs ago
 
hao ni noma,siku hizi wanavyojengewa havieleweki,hapo open hata ukisema uamue kumfuatilia kiundani huyo nyumbu anayeokota okota data kila sehemu na kujifurahisha kwa kujiaminisha ,,,
hivyo vitu anavyopost haukosi dosari yaani hizo data zake lazima zikinzane zenyewe...
mbona dosari tayari ipo.

nakumbuka BRT ya dsm ilianza kwa kuchimbwa kwenda chini,ndugu zetu wanachimba nguzo,ukiuliza unaambiwa itakuwa elevated,

elevated km zote
 
Back
Top Bottom