Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi kwa nini huwa mnakimbilia kusema watz wanajichubua?
Nyie ni weusi tii kama wasudani,
Watz ni weusi na pia wengi ni light skinned, genetically as a reason of high diversity of over 140 tribes encouraged by intermerriages, hapo Kenya mko Makabila 40 na bado mnabaguana na mnaoana kikabila,
Ndio maana sura zenu wanawake huwa zinafanana na babu zenu, unakuta demu Mweusi na mchafu, sura mbovu, hana chura anafanana na babu yake halafu anazungumza Kingereza,
Tazama hizi picha za watoto wasafi wa kibongo na hata Marais wastaafu halafu ujilinganishe,
NB, kama wewe ni Mweusi tii jivunie na usimchukie mweupe. Wapo wanaopenda wanawake weusi na tupo tunaopenda totoz nyeupe.
Mke wangu ni mweupe sana
View attachment 1644073View attachment 1644074View attachment 1644075View attachment 1644076View attachment 1644077View attachment 1644078
Me napenda mweusi ila asiwe na weusi wa kikenya (hapo tutatoa toto tamu sn)
 
Sasa mbona unaanza matusi wakati wewe mwenyewe ndio uliyenianza kunijibu toka jana?, any way siwezi kukulaumu hizo ni hasira za kuishi katika slums, pole.
Sorry I ain't from Tandale maybe ua collapsed memory need some jogging
 
Yani hapo pa mchele ndio usipaguse kabisa
Hakuna siku nimekula mchele wa tanzania boss, yani sahau kabisa kuhusu hilo..
Nimekuwekea link kuthibitisha ninalosema, na wewe weka link kuthibitisha unalosema sio blaah blaah. Hakuna siku inayopita bila ya wewe kula chakula au tunda toka Tanzania, kumbuka 50% ya cows wanaochinjwa Kenya wanatoka Tanzania.
 
Tembea kenya wewe nenda mpka mashinani ukakutane na watu, achana na hzo kasumba zenu za kijinga..

Kuna jamii kenya hata hujawai waona, utashangaa nakwambia..
Tafadhali usiinglie topic isiyokuhusu! Sijasema kuwa Kenya watu wenye ngozi nyeusi ni asilimia 100. Ila nimesema asilimia kubwa ya wakenya ni weusi.
 
Tafadhali usiinglie topic isiyokuhusu! Sijasema kuwa Kenya watu wenye ngozi nyeusi ni asilimia 100. Ila nimesema asilimia kubwa ya wakenya ni weusi.
Asilimia kubwa ipi na wakati kenya ina county 47
Logic ya kwangu imekushika pabaya
 
Kwhyo mleo kuwa mweupe kwako ni archivement, mungu wangu..

M kukua kwangu yani watu weusi mtaani wanahesabika na wengi wao ilikua ni wakuja.
Yani hilo hku ni jambo la kawaida wala sio km dar kw majamaa wa make-up..
Napenda wanawake weupe, wapo wanaume wanapenda wanawake weusi, wewe kama Mweusi usijiskie vibaya. Jiamini na ujweke vizuri tu na uwe msafi wa mwili na Roho utapata anaevutiwa nawe.
Usiwaonee wivu wanawake weupe
 
Hzi ndio daladala zao 🤣🤣 hawa watu wako miaka 20 nyuma

28D99196-F695-4982-BDB0-89834AC2F2A1.jpeg
 
Nimekuwekea link kuthibitisha ninalosema, na wewe weka link kuthibitisha unalosema sio blaah blaah. Hakuna siku inayopita bila ya wewe kula chakula au tunda toka Tanzania, kumbuka 50% ya cows wanaochinjwa Kenya wanatoka Tanzania.
Link gani hata aliyeandika article under hilo gazeti ni views anataka..
Hakuna hta ushahidi aliouweka ni porojo tu kaandika
 
Back
Top Bottom