Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehehehe mfalme wa nyika pekee africa mashariki na kati 🤣🤣🤣👇👇👇

 
Alaf tunasubiri the only modern electril train in africa mwezi wa tatu treni ya kwanza ya majaribio inaanza 👍👍👍👍👍 naisubiri hio siku kwa hamu zote huku another modern BRT phase two ikiwa inaelekea 60% na phase 3 ikiwa imeanza rasmi 😁😁😁😁😁
 
hii ndio 3 level ya kenya yesu ashuke awasaidie View attachment 1643153


alaf hii ya tanzania
View attachment 1643154
Mlidhani ni nyinyi pekee yenu ndio mko na three level interchange
IMG_20201205_234050_149.JPG
IMG_20201205_234538_782.JPG
 
Huku giant modern bridge and longest in east and central africa ikiwa inaelekea patamu 👇👇👇👇 kigongo busisi bridge mwanza 3.2km

 
Wakenya saivi wanasema level yao ni kampala. Dar es salaam tunawaza mbali ndomana malengo yetu mpka 2035, Dar es salaam ndo inakua african number 1 developed city!
Na kweli 😅😅 sababu naona zimeteamup Nairobi + Thika + Mombasa kupambana na Dar 1 😂
 
Alaf tunasubiri the only modern electril train in africa mwezi wa tatu treni ya kwanza ya majaribio inaanza naisubiri hio siku kwa hamu zote huku another modern BRT phase two ikiwa inaelekea 60% na phase 3 ikiwa imeanza rasmi
Wakat mwezi huhu...kibaha kimara high way inafunguliwa nyang'au watazimia we tuomb uzima tu
 
Sikushangai vile unakaa msa ...utajua nini...nenden malawi wako na izo uchafu zenu....lkn tafut three level y Tz km utaikuta kweny nchi za jua kali
Huo uchafu mpka mambele upo
Kwanza hata kw jina waijua hyo au ni kunengua unanengua tu
 
Back
Top Bottom