Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ kweli nzi kufa kwenye kidonda ni halali yake

 
Hebu zoom hapo utuoneshe slum ili leo tuamini ww unaakili kuliko mzungu
Mbona unajishuku? Si mlishasema hakuna slums Tanzania?
1808280_manzese-980d6ac6-0f71-4237-b61d-83162fdc3f0-resize-750.jpeg
 
BBi inavowaingiza wakenya kwenye umaskini badala kujenga nchi watu wanazungumzia siasa miaka miwili kabla ya uchaguzi๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

 
You people are a very funny lot. Hamtaki kukubali kwamba mko na mapungufu hata kidogo. Nyumba Kama hizo ziko kila corner Nairobi ila zikionyeshwa hapa chuki zinawapanda na mnaanza kutuambia vile hakuna mtanzania anaweza kuishi kwenye dormitory. Mara sijui eti hizo ni boxes. Mara eti wamiliki Ni wazungu. There's just too much excuse and drama

Iweje leo mnafurahi kuona boxes na dormitories zikijengwa Dar? Na Ni akina nani wataishi kwenye hizo boxes? Wakenya?

Anyway, congratulations for taking a step in the right direction in matters housing and planning. We've been treated to drama for far too long!
Sungura alipokosa zabibu kasema ni chungu.
 
Back
Top Bottom