Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kweli nzi kufa kwenye kidonda ni halali yake

 
Hebu zoom hapo utuoneshe slum ili leo tuamini ww unaakili kuliko mzungu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona unajishuku? Si mlishasema hakuna slums Tanzania?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
1808280_manzese-980d6ac6-0f71-4237-b61d-83162fdc3f0-resize-750.jpeg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli nzi kufa kwenye kidonda ni halali yake

Za kwenu zimewashinda umeamua kujiconsole na za Kenya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



 
BBi inavowaingiza wakenya kwenye umaskini badala kujenga nchi watu wanazungumzia siasa miaka miwili kabla ya uchaguzi🤣🤣

 
You people are a very funny lot. Hamtaki kukubali kwamba mko na mapungufu hata kidogo. Nyumba Kama hizo ziko kila corner Nairobi ila zikionyeshwa hapa chuki zinawapanda na mnaanza kutuambia vile hakuna mtanzania anaweza kuishi kwenye dormitory. Mara sijui eti hizo ni boxes. Mara eti wamiliki Ni wazungu. There's just too much excuse and drama

Iweje leo mnafurahi kuona boxes na dormitories zikijengwa Dar? Na Ni akina nani wataishi kwenye hizo boxes? Wakenya?

Anyway, congratulations for taking a step in the right direction in matters housing and planning. We've been treated to drama for far too long!
Sungura alipokosa zabibu kasema ni chungu.
 
Back
Top Bottom