Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

someni hii barua


jamaa amekataa kuingiliwa na international community

nahis kuna kamchezo ameusoma.. hasa kuhusiana na rasilimali za nchi yake
 
Anzeni kutafuta kwa kujifichia
IMG_20201125_131622_5.jpg
 
Jana kuna mama mmoja toka mombasa alikua anasema 1kg ya nyama kenya ni 500 . Nilikua nashang'aa mbona hela ya kenya kwenye purchasing power haina kitu kushinda ya Tanzania? 500 ya kenya bongo unapata nyama 1kg na mchele 1kg na chenji inabaki
 
Jana kuna mama mmoja toka mombasa alikua anasema 1kg ya nyama kenya ni 500 . Nilikua nashang'aa mbona hela ya kenya kwenye purchasing power haina kitu kushinda ya Tanzania? 500 ya kenya bongo unapata nyama 1kg na mchele 1kg na chenji inabaki
Kwani ng'ombe za Mombasa wana nyama ya Gold🤣,hapa Nairobi 1kg ni ksh 380
 
Back
Top Bottom